Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 4,913
- 12,987
Unajua kwanini wasanii wa bongo wanakimbilia amapiano sababu ni mziki ambao hawaumizi sana kichwa kuandika au kutafuta mada ,wanatafuta tuu maneno matatu wanatembea na beat la dakika 4
Yawena ewee , Yibiyiyibi yah, Yibiyiyibi yoo ... hapo umepatia🤣Unajua kwanini wasanii wa bongo wanakimbilia amapiano sababu ni mziki ambao hawaumizi sana kichwa kuandika au kutafuta mada ,wanatafuta tuu maneno matatu wanatembea na beat la dakika 4
😀😀😀Yawena ewee , Yibiyiyibi yah, Yibiyiyibi yoo ... hapo umepatia🤣View attachment 1891938
Una matatizo wewe tafta ngoma inaitwa Vula Vala uone balaa lake!Sijawahi kuielewa Amapiano, japokuwa naona kama midundo hii inatrend Africa kuliko midundo ya Kinaija, ila mimi bado mpaka sasa hamna hata nyimbo niliyo ielewa.
Mimi sina mzuka nazo kabisa.Una matatizo wewe tafta ngoma inaitwa Vula Vala uone balaa lake!
Usipoelewa utakuwa mnywa juisi wewe!
Huezi kumkuta King Kiba anaiga huo upuuzi,. Kuna visanii vinapenda kuigaiga kila kitu ili mradi waonekane wametoa kazi
Bora unyamaze huyo mnafiki aliyejaa chuki na wivu, wakati Mondi akitumia biti za kinaija kwa baadhi ya nyimbo zake aliponda sana "...mimi naimba bongo fleva ..naiwakilisha bongo fleva.....king of bongo fleva".Huezi kumkuta King Kiba anaiga huo upuuzi,. Kuna visanii vinapenda kuigaiga kila kitu ili mradi waonekane wametoa kazi
Azawi ana ngoma inaitwa quinamino naikubali sanawasanii watanzania kila mmoja kukimbilia kuimba Amapiano ambayo ya SA ni ushamba wa kiwango cha lami.
Nimependa sana Msaanii wa Singeli Kinata MC katoa nyimbo na mwanadada wa Uganda anaitwa Azawi nyimbo inaitwa Do le mi Go remix,
Taratibu singeli imeanza kueleweka East Africa.
AjibijibiyoooShaimpempe
Amapiano huwa tamu, ukikuta kuna pisi kali zinacheza... yaani udenda lazima ukutoke 😋😋😋😋Aisee pini zao za South noma.. Ila Wabongo naona wamechemka wote.
Hili jamaa lao wanalikubali mno...ndio hiper waoYawena ewee , Yibiyiyibi yah, Yibiyiyibi yoo ... hapo umepatiaView attachment 1891938