Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,230
- 17,939
Weeeeh!
Nikoje jamaniiiiii
Nikoje jamaniiiiii
Naona sasa imekua ndo kawaida kwa wasanii wetu kila wimbo unaotoka ni Amapiano sijui amopiano yaani zinafanana kwa kila kitu,binafsi naona ni upuuzi mtupu!!
kwa nini isiwe singeli?Ndio mziki wa afrika ulopo sasa mkuu
Mbona una taarabu nyingi sana???Kiufupi sikutegemea memba mbobezi Kama wewe kuwa vile Tena since 2015
Ila unamkuta kwenye Ndombolo, so what the fvck is the difference.ndio maana heshima kwa Kiba, hautamkuta kwenye ujinga huu
Ni upepo tu... Utapita.Naona sasa imekua ndo kawaida kwa wasanii wetu kila wimbo unaotoka ni Amapiano sijui amopiano yaani zinafanana kwa kila kitu,binafsi naona ni upuuzi mtupu!!