PreGE2025 Amani Golugwa: Hilda Newton bado hajapatikana, Tunachofahamu alichukuliwa na polisi

PreGE2025 Amani Golugwa: Hilda Newton bado hajapatikana, Tunachofahamu alichukuliwa na polisi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema mpaka kufikia hivi sasa hakina taarifa za alipo mjumbe wa Baraza Kuu la chama hicho Hilda Newton baada ya kukamatwa siku ya jana akiwa eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar Es Salaam.

Akizungumza na vyombo vya habari leo April 25, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho bara Amani Golugwa amesema “Tuna mwanachama wetu ambaye ni mjumbe wa baraza kuu Bi Hilda Newton kama ofisi zetu za chama hatuna taarifa zozote zilizo rasmi zinazoonyesha kwamba hilda Newton yuko wapi.”

Golugwa amedai kuwa Hilda alikamatwa eneo la Kisutu na walitegemea kuwa taarifa ya jeshi la Polisi iliyotoka jana pengine ingekuwa na jina la mjumbe huyo

“Jana kwenye taarifa ambayo afande Muliro alitaja majina ya viongozi na wanachama ambao wapo kwenye mikono ya jeshi la Polisi. Na pia alitoa taarifa kuhusiana na mtu mmoja ameokotwa kwenye ufukwe wa Coco Beach taarifa ya Hilda Newton kuwa kwenye mikono ya polisi

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Pia soma: Hilda Newton, Aachiwa Kwa Dhamana usiku huu
 
“Tuna mwanachama wetu ambaye ni mjumbe wa baraza kuu Bi Hilda Newton kama ofisi zetu za chama hatuna taarifa zozote zilizo rasmi zinazoonyesha kwamba hilda Newton yuko wapi.”

Golugwa amedai kuwa Hilda alikamatwa eneo la Kisutu na walitegemea kuwa taarifa ya jeshi la Polisi iliyotoka jana pengine ingekuwa na jina la mjumbe huyo

“Jana kwenye taarifa ambayo afande Muliro alitaja majina ya viongozi na wanachama ambao wapo kwenye mikono ya jeshi la Polisi. Na pia alitoa taarifa kuhusiana na mtu mmoja ameokotwa kwenye ufukwe wa Coco Beach taarifa ya Hilda Newton kuwa kwenye mikono ya polisi
View attachment 3315173
nendeni mkaripoti police kuwa mmepotelewa na mtu wamtafute unakuja kulalamika hapa sisi ni police?
 
Yezebeli anavyoendelea kuiumiza mioyo ya watu, ndivyo kuzimu inavyomsogelea.

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
chadema-pic.jpg

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema jumla ya majeruhi 21 waliodaiwa kukamatwa na polisi wakati wa kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu kwa njia ya mtandao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana Aprili 24, wametambuliwa, hata hivyo, kada wao Hilda Newton hajulikani alipo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 25, 2025 jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Amani Golugwa amesema kuwa Hilda Newton aliyekuwepo mahakamani hapo akifuatilia kesi hiyo alikamatwa na polisi.

Jana Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alipotoa taarifa za usalama wakati wa usikilizwaji wa kesi hiyo, hakueleza wala kutaja makada wa Chadema waliokamatwa.

Golugwa amesema, “Kama ofisi za chama hatuna taarifa zozote zinazoonyesha Hilda Newton yuko wapi, tunachofahamu ni kwamba, alichukuliwa na polisi, lakini jana katika taarifa iliyotolewa na Muliro (Jumanne Muliro- Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, hakutaja watu walio kwenye mikono ya polisi.

“Pia alitoa taarifa ya mtu mmoja aliyeokotwa kwenye ufukwe wa Coco Beach, taarifa kuhusu Hilda Newton haikutolewa, kwa hiyo mpaka muda huu, sisi ofisi ya chama, hatujui Hilda Newton yuko wapi. Tunachojua ni kwamba polisi walimchukua pale Kisutu, sasa kama walimpeleka Ununio au kituo gani, hatujui,” amesema.

Majeruhi 21

Kuhusu majeruhi 21, Golugwa ametaja majina ya wanachama wao 18 waliodaiwa kukamatwa na Polisi walipokuwa wakielekea kufuatulia kesi hiyo akisema waliteswa kwa kupigwa marungu na wengine wamevunjika miguu na mikono kabla ya kutupwa pori la Mabwepande na wengine ufukwe wa Coco Beach.

Waliotajwa ni pamoja na Makamu Mwenyekiti (Zanzibar), Said Mzee anayedaiw akupigwa mwili mzima, Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Ally Juma ambaye naye amedaiwa kupigwa marungu kwenye uti wa mgongo na kuvunjwa mguu wa kulia na mkono wa kushoto.

Soma Pia: Sintofahamu yatawala CHADEMA: Siku ya Pili Kada Hilda Newton hajaonekana

Wengine ni pamoja na Mkurugenzi wa Fedha wa chama hicho, Tito Kitalika anayedaiw akuwa na hali mbaya kutokana na kipigo alichopata na Mwenyekiti wa Kanda ya Serengeti, Lucas Ngoto aliyevunjwa mguu na Mkurugenzi wa Mafunzo na Oganaizesheni, John Pambalu ambaye pia anadaiwa kuvunjwa mguu.

Wengine ni Peter Alex, Emmanuel Severine, Bwire G Bwire, Elizabeth Mangosho, Taliflo Mussa Mussa, Emmanuel Modest Mwihawa, Nasra Said (mwandishi wa habari), Ramadhan Kilengo, Pendo Jonas Kileo, Twaha Mwaipaya, Raphael Makalla mzee wa miaka 70, aliyeteguka mguu.

Wengine ni Shaaban Kirita aliyeokotwa kutoka Coco Beach baada ya kuokolewa na wasamaria wema na Erick Zakaria Bulega.

Amesema majeruhi wengine watatu waliokotwa pori la Mabwepande na msamaria mwema aliyewapeleka hospitali na kuwagharamia matibabu.
 
Hivi huwa mnatoa hoja mkiwa chooni au kaburini, uyu kachukuliwa na police toka kisutu, alafu unasema yupo kwa awala yake , so awala yake ndo anamiliki gari la police , acheni ujinga wa namna hii, ipo siku binti yako atatoweka ,alafu ukutane na majibu ya namna hii
Wapumbavu

Mlionywa msisogelee Geti la Kisutu mnajikuta harakati

Aya sasa
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema mpaka kufikia hivi sasa hakina taarifa za alipo mjumbe wa Baraza Kuu la chama hicho Hilda Newton baada ya kukamatwa siku ya jana akiwa eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar Es Salaam.

Akizungumza na vyombo vya habari leo April 25, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho bara Amani Golugwa amesema “Tuna mwanachama wetu ambaye ni mjumbe wa baraza kuu Bi Hilda Newton kama ofisi zetu za chama hatuna taarifa zozote zilizo rasmi zinazoonyesha kwamba hilda Newton yuko wapi.”

Golugwa amedai kuwa Hilda alikamatwa eneo la Kisutu na walitegemea kuwa taarifa ya jeshi la Polisi iliyotoka jana pengine ingekuwa na jina la mjumbe huyo

“Jana kwenye taarifa ambayo afande Muliro alitaja majina ya viongozi na wanachama ambao wapo kwenye mikono ya jeshi la Polisi. Na pia alitoa taarifa kuhusiana na mtu mmoja ameokotwa kwenye ufukwe wa Coco Beach taarifa ya Hilda Newton kuwa kwenye mikono ya polisi
View attachment 3315173
Chadema aina za siasa mnazofanya mtazidi kuonekana victims na kuonewa.
Kuna lugha moja tu maadui zenu wanaelewa, na mnajua nn cha kufanya
 
Huyu hamnazo sio bure 😂
Jifunze kuandika vizuri basi mkuu.

Yaani kila statement unayoandika lazima kuwe na makosa ya wazi ya kiuandishi kitu ambacho kinaleta mashaka na uwezo wako wa kufikiri mkuu.

Mfano hapa umeandika 'ajakupa' badala ya 'hajakupa', 'ndg' sijui ni kitu gani umemaanisha
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema mpaka kufikia hivi sasa hakina taarifa za alipo mjumbe wa Baraza Kuu la chama hicho Hilda Newton baada ya kukamatwa siku ya jana akiwa eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar Es Salaam.

Akizungumza na vyombo vya habari leo April 25, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho bara Amani Golugwa amesema “Tuna mwanachama wetu ambaye ni mjumbe wa baraza kuu Bi Hilda Newton kama ofisi zetu za chama hatuna taarifa zozote zilizo rasmi zinazoonyesha kwamba hilda Newton yuko wapi.”

Golugwa amedai kuwa Hilda alikamatwa eneo la Kisutu na walitegemea kuwa taarifa ya jeshi la Polisi iliyotoka jana pengine ingekuwa na jina la mjumbe huyo

“Jana kwenye taarifa ambayo afande Muliro alitaja majina ya viongozi na wanachama ambao wapo kwenye mikono ya jeshi la Polisi. Na pia alitoa taarifa kuhusiana na mtu mmoja ameokotwa kwenye ufukwe wa Coco Beach taarifa ya Hilda Newton kuwa kwenye mikono ya polisi
View attachment 3315173
duh hatari sana aisee,, siasa hizi --- haya mambo yanayoendelea hata uzalendo wa kujivunia nchi yako unapungua aisee
 
View attachment 3315188
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema jumla ya majeruhi 21 waliodaiwa kukamatwa na polisi wakati wa kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu kwa njia ya mtandao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana Aprili 24, wametambuliwa, hata hivyo, kada wao Hilda Newton hajulikani alipo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 25, 2025 jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema (Bara), Amani Golugwa amesema kuwa Hilda Newton aliyekuwepo mahakamani hapo akifuatilia kesi hiyo alikamatwa na polisi.

Jana Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alipotoa taarifa za usalama wakati wa usikilizwaji wa kesi hiyo, hakueleza wala kutaja makada wa Chadema waliokamatwa.

Golugwa amesema, “Kama ofisi za chama hatuna taarifa zozote zinazoonyesha Hilda Newton yuko wapi, tunachofahamu ni kwamba, alichukuliwa na polisi, lakini jana katika taarifa iliyotolewa na Muliro (Jumanne Muliro- Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, hakutaja watu walio kwenye mikono ya polisi.

“Pia alitoa taarifa ya mtu mmoja aliyeokotwa kwenye ufukwe wa Coco Beach, taarifa kuhusu Hilda Newton haikutolewa, kwa hiyo mpaka muda huu, sisi ofisi ya chama, hatujui Hilda Newton yuko wapi. Tunachojua ni kwamba polisi walimchukua pale Kisutu, sasa kama walimpeleka Ununio au kituo gani, hatujui,” amesema.

Majeruhi 21

Kuhusu majeruhi 21, Golugwa ametaja majina ya wanachama wao 18 waliodaiwa kukamatwa na Polisi walipokuwa wakielekea kufuatulia kesi hiyo akisema waliteswa kwa kupigwa marungu na wengine wamevunjika miguu na mikono kabla ya kutupwa pori la Mabwepande na wengine ufukwe wa Coco Beach.

Waliotajwa ni pamoja na Makamu Mwenyekiti (Zanzibar), Said Mzee anayedaiw akupigwa mwili mzima, Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar), Ally Juma ambaye naye amedaiwa kupigwa marungu kwenye uti wa mgongo na kuvunjwa mguu wa kulia na mkono wa kushoto.

Soma Pia: Sintofahamu yatawala CHADEMA: Siku ya Pili Kada Hilda Newton hajaonekana

Wengine ni pamoja na Mkurugenzi wa Fedha wa chama hicho, Tito Kitalika anayedaiw akuwa na hali mbaya kutokana na kipigo alichopata na Mwenyekiti wa Kanda ya Serengeti, Lucas Ngoto aliyevunjwa mguu na Mkurugenzi wa Mafunzo na Oganaizesheni, John Pambalu ambaye pia anadaiwa kuvunjwa mguu.

Wengine ni Peter Alex, Emmanuel Severine, Bwire G Bwire, Elizabeth Mangosho, Taliflo Mussa Mussa, Emmanuel Modest Mwihawa, Nasra Said (mwandishi wa habari), Ramadhan Kilengo, Pendo Jonas Kileo, Twaha Mwaipaya, Raphael Makalla mzee wa miaka 70, aliyeteguka mguu.

Wengine ni Shaaban Kirita aliyeokotwa kutoka Coco Beach baada ya kuokolewa na wasamaria wema na Erick Zakaria Bulega.

Amesema majeruhi wengine watatu waliokotwa pori la Mabwepande na msamaria mwema aliyewapeleka hospitali na kuwagharamia matibabu.
Wameambiwa kesi iendeshwe kwa njia ya mtandao bd hawataki inaonekana wana hamu ya kuvunjwavunjwa hivyo viungo vyao. Walikuwa wanatest mitambo km inafanya kazi sasa wanalialia nini.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema mpaka kufikia hivi sasa hakina taarifa za alipo mjumbe wa Baraza Kuu la chama hicho Hilda Newton baada ya kukamatwa siku ya jana akiwa eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar Es Salaam.

Akizungumza na vyombo vya habari leo April 25, 2025 Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho bara Amani Golugwa amesema “Tuna mwanachama wetu ambaye ni mjumbe wa baraza kuu Bi Hilda Newton kama ofisi zetu za chama hatuna taarifa zozote zilizo rasmi zinazoonyesha kwamba hilda Newton yuko wapi.”

Golugwa amedai kuwa Hilda alikamatwa eneo la Kisutu na walitegemea kuwa taarifa ya jeshi la Polisi iliyotoka jana pengine ingekuwa na jina la mjumbe huyo

“Jana kwenye taarifa ambayo afande Muliro alitaja majina ya viongozi na wanachama ambao wapo kwenye mikono ya jeshi la Polisi. Na pia alitoa taarifa kuhusiana na mtu mmoja ameokotwa kwenye ufukwe wa Coco Beach taarifa ya Hilda Newton kuwa kwenye mikono ya polisi
View attachment 3315173
Kawekwa kimada pengine,katumia fursa huyo.
 
Back
Top Bottom