Ama kweli Pesa ni kilainishi

Ama kweli Pesa ni kilainishi

Acha kiburi basi,,,,kuwa na Moyo safi Kama wa Bei Elekezi ,,unapigwa chini miaka kadhaa Ila ukirudiwa ghafla unaamini unapendwa🤣🤣🤣🤣🤣
Ila huyo dada ni mafia,kaombwa number insta katuma za mitandao miwili kabisaa ,🤔
Jamani 😁😁😁😁

Binti alikuwa tu na shida iliyomfanya ajizime data na kusahau aliyokuwa akimtendea jamaa kwa miaka 10 iliyopita. Na aliposaidiwa akaona ampoze mwamba. Mwamba naye kwa usongo wa kutukanwa na kuitwa mbwa kwa miaka kumi (decade nzima) akaona isiwe shida. Nashangaa hajaelezea jinsi alivyopelekea moto kibabe maana usongo na malipizi ya decade nzima mtiti wake sipati picha 😁😁😁
 
Jamani 😁😁😁😁

Binti alikuwa tu na shida iliyomfanya ajizime data na kusahau aliyokuwa akimtendea jamaa kwa miaka 10 iliyopita. Na aliposaidiwa akaona ampoze mwamba. Mwamba naye kwa usongo wa kutukanwa na kuitwa mbwa kwa miaka kumi (decade nzima) akaona isiwe shida. Nashangaa hajaelezea jinsi alivyopelekea moto kibabe maana usongo na malipizi ya decade nzima mtiti wake sipati picha 😁😁😁
Yaani nilichoshangaa ni jamaa kuona kawin,kamzungumzia kwa furaha sana as if kampata kigoli......halafu kamalizia kwa kusema Kama yupo humu ANAMPENDA SANA 😁😁😁😁😁😁😁
 
Kuna jamaa huko juu nimemuona anakwambia mapenzi siyo siasa...na kwa namna moja au nyingine ni lazima kununua mbususu maana hakuna mbususu ya bure hapa duniani. Naona kama ana pointi fulani hivi ama? 🤔
Ununue utumbo na kitimoto...ununue na mbusu su mkuu?
 
Back
Top Bottom