Am Speechless!

Kumbe yupo ICU!

Yaa! Mama alikuwa kwenye gari ndogo iliyokuwa nyuma ya coaster iliyopata ajali. So alishuhudia ajali ile kwa macho. Sasa mambo ya mshtuko hakuwa na jinsi zaidi ya ku-colapse.
 
Jamani Xspin wangu mie sijui nisemeje.....innalillahi wa inna illahi rajiun.

Mwenyezi mungu awafariji wote wafiwa, Loh! kweli majaaliwa huwezi jua kesho itakuwaje. Poleni sana.
 
Chrispin, inasikitisha, inatia majonzi, cha msingi tumrudishie Mungu sifa na utukufu, na kikubwa tuwaombee wafiwa wawe na nguvu hususani kipindi hiki kigumu,

Haiyenyi saaaana
 
Jamani Xspin wangu mie sijui nisemeje.....innalillahi wa inna illahi rajiun.

Mwenyezi mungu awafariji wote wafiwa, Loh! kweli majaaliwa huwezi jua kesho itakuwaje. Poleni sana.

Ahsante Shishi. Japo sijaielewa hiyo bold naamini litakuwa dua jema. Ubarikiwe.
 
Pole sana kaka. Tell ur friend, to count his blessings and he will be surprised to see what God has already done for him. E.g. hadi age hii bado alikuwa na wazazi wote wawili etc.
May God give him the courage to go on.
 
Yaa! Mama alikuwa kwenye gari ndogo iliyokuwa nyuma ya coaster iliyopata ajali. So alishuhudia ajali ile kwa macho. Sasa mambo ya mshtuko hakuwa na jinsi zaidi ya ku-colapse.


kwenye maisha kuna vitu vinaumiza/huzunisha sana jamani......eeh Mungu.
 
Pole sana kaka. Tell ur friend, to count his blessings and he will be surprised to see what God has already done for him. E.g. hadi age hii bado alikuwa na wazazi wote wawili etc.
May God give him the courage to go on.

Thanks pal! I will.
 
Tuwaombee wafiwa ili waipokee na kuikubali kazi ya Bwana. Hili ni jaribu kubwa sana katika maisha na ni rahisi sana kumkufuru Mungu.

Mungu akutie nguvu Bwana Chrispin ili ukawe msaada kwa rafiki yako katika hiki kipindi kigumu sana.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake libarikiwe!
 
Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe

Pole sana Chrispin....kusema kweli wote tupo kwenye huu msiba mzito ambao umetugusa kwa namna ya pekee

Lakini kwa Mungu kuna msamaha...ili yeye aogopwe na aitwe Mungu

Tuwaombee wafiwa wote jamani!
 
Bwana ametoa na bwana ametwaa, jina la bwana lihimidiwe

Pole sana Chrispin....kusema kweli wote tupo kwenye huu msiba mzito ambao umetugusa kwa namna ya pekee

Lakini kwa Mungu kuna msamaha...ili yeye aogopwe na aitwe Mungu

Tuwaombee wafiwa wote jamani!

Tuko pamoja mpwa. Senksi!
 
Hebu fikiria:
Una rafiki yako mpendwa, mliyeshibana sana. Mmesoma darasa moja toka A-Level mpaka chuo kimoja. Bahati ikawanyookea mkapata kazi kampuni moja, kabla ya rafiki yako mwezi mmoja uliopita kupata kazi sehemu nyingine.

Na urafiki wenu huu ukapelekea na familia zenu kufahamiana na kuheshimiana sana.Mkawa mnashirikiana katika shida na raha.

Halafu ghafla asubuhi unapata simu ya rafiki yako. Kama kawaida unaipokea kwa utani lakini sauti ya rafiki yako kwenye simu si ya kawaida. Ana majonzi na sauti imekuwa nzito. Anakuuliza: umesikia ile ajali ya Same? unamwambia umeisikia. Then anamalizia kwa kusema: Ajali ile imemaliza familia yangu yote!

Ndicho kilichonifanya kuwa speechless kwa leo nisijue la kufanya. Nimechanganyikiwa nimsaidieje huyu rafiki yangu!

Please pray for his Dady, Sister, Brother and other 16 close relatives to Rest in Peace.

Pole sana Crispin ni mitihani ya maisha tu hiyo lakini yote utaishinda. tuko pamoja kiroho na tunawaombea marehemu pamoja na mfiwa Mungu amuangazie.
 
Pole sana Crispin ni mitihani ya maisha tu hiyo lakini yote utaishinda. tuko pamoja kiroho na tunawaombea marehemu pamoja na mfiwa Mungu amuangazie.
My appreciation JS!
 
Dah mm mwenyewe hapa nimeishiwa nguvu kabisa sijui nipihe Valuu akili ije? maana sielewi la kufanya.
any way mpwa pole sana kwa tukio hili tupo pamoja kwa sala
 
ooh my GOD,inauma sana namuombea huyo rafiki yako MUNGU ampe ujasiri maana ni ngumu sana kusema ukweli mimi basi la mohamed trans huwa sipandi kabisa ni mwiko kwangu.
 
Dah mm mwenyewe hapa nimeishiwa nguvu kabisa sijui nipihe Valuu akili ije? maana sielewi la kufanya.
any way mpwa pole sana kwa tukio hili tupo pamoja kwa sala

Mwenyewe nilichomoka kidogo nikaipiga kiaina lakini naona haijasaidia saaana! Haya mambo bana! Kinachoniuma huyu swahiba nampigia simu inaiiiita weeee hapokei! he is driving me crazy! Ame kolapsi au?
 
Back
Top Bottom