okay okay!mwenye mawacliano na chris amcal bac hata amuulize mama huko hosp anaendeleaje?
MORE DATAAZ ni kwamba yule mgonjwa AMEZINDUKA!.......na yupo alright!mungu ashukuriwe sana wakuu.mwenye mawacliano na chris amcal bac hata amuulize mama huko hosp anaendeleaje?
Hebu fikiria:
Una rafiki yako mpendwa, mliyeshibana sana. Mmesoma darasa moja toka A-Level mpaka chuo kimoja. Bahati ikawanyookea mkapata kazi kampuni moja, kabla ya rafiki yako mwezi mmoja uliopita kupata kazi sehemu nyingine.
Na urafiki wenu huu ukapelekea na familia zenu kufahamiana na kuheshimiana sana.Mkawa mnashirikiana katika shida na raha.
Halafu ghafla asubuhi unapata simu ya rafiki yako. Kama kawaida unaipokea kwa utani lakini sauti ya rafiki yako kwenye simu si ya kawaida. Ana majonzi na sauti imekuwa nzito. Anakuuliza: umesikia ile ajali ya Same? unamwambia umeisikia. Then anamalizia kwa kusema: Ajali ile imemaliza familia yangu yote!
Ndicho kilichonifanya kuwa speechless kwa leo nisijue la kufanya. Nimechanganyikiwa nimsaidieje huyu rafiki yangu!
Please pray for his Dady, Sister, Brother and other 16 close relatives to Rest in Peace.
okay okay!
dataaz ni kwamba mazishi ya familia ya rafiki wa x-pin yatafanyika kwa siku mbili,leo na wengine kesho!kuna uwezekano mdogo sana wa x-pin kuhudhuria mazishi yote mawili kwani majukumu ya ofisi yamemuandama sana!anajaribu kuangalia kama atamaliza baadhi ya majukumu leo na kesho ili ikibidi kesho jioni au jumatatu asubuhi asafiri!
nitarudi na update kuhusu mgonjwa mahututi shortly!.........
duh!HAYA BWANAnikidhani mcba ni dar....poleni sana wafiwa.
duh!HAYA BWANA
ajali imetokea same,wahanga ni WACHAGA!msiba urudi dar?
haya mama!HALI YAKO?ckujua hilo.....
atakuwa bizeDah nakuona Yo Yo kwa mbaaaaaaaaaaaali mpwa wetu kapata na janga la ukoo mzima, tunamlilia hapa.
haya mama!HALI YAKO?
naona kimya,hata sms tu?!unakimbia michango ya harusi?
ha ha haha!nimecheka mpaka bac....hakimbii mtu hapa, bega kwa bega...nipo likizo mambo mengi ya kifamilia, safari za hapa na pale, na hizi ajali mungu atunusuru.....tutawacliana fresh baadae.
nimecheka mpaka bac....hakimbii mtu hapa, bega kwa bega...nipo likizo mambo mengi ya kifamilia, safari za hapa na pale, na hizi ajali mungu atunusuru.....tutawacliana fresh baadae.
Nishtue nikutumie kadi yako ya harusi mm ndo mwenyekiti wa vikao
he he he!na mchango ni wewe wewe unapokea?....kama wewe ndio mweka hazina imekula kwao...lol
he he he!
tafadhali mpwa usinitishe bwana
ha ha ha!ndio nina mpango wa kuja dar nimtafute kwa cri tuzitumbue na tusker......
na mchango ni wewe wewe unapokea?....kama wewe ndio mweka hazina imekula kwao...lol
ha ha ha!
mtakuwa mnajikopesha.najua mtazirejesha KWA RIBA