MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,976
- 784
My dear Chrispin, There is a huge hug in my heart for you & for all those in pain over the recent losses. You are in my prayers.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe nilichomoka kidogo nikaipiga kiaina lakini naona haijasaidia saaana! Haya mambo bana! Kinachoniuma huyu swahiba nampigia simu inaiiiita weeee hapokei! he is driving me crazy! Ame kolapsi au?
ooh my GOD,inauma sana namuombea huyo rafiki yako MUNGU ampe ujasiri maana ni ngumu sana kusema ukweli mimi basi la mohamed trans huwa sipandi kabisa ni mwiko kwangu.
Mwenyewe nilichomoka kidogo nikaipiga kiaina lakini naona haijasaidia saaana! Haya mambo bana! Kinachoniuma huyu swahiba nampigia simu inaiiiita weeee hapokei! he is driving me crazy! Ame kolapsi au?
hajakolapsi ila atakuwa tu in a minor shock na anatafuta jinsi ya kukabiliana na situation yenyewe. keep trying kumtafuta au kama una namba ya ndugu yake yoyote yule umuulizie how he is doing
Ndugu zake wote naowajua wamekufa kwenye hiyo ajali! Mama yake hata namba yake sithubutu kuipiga.
Life goes on!
Ndugu zake wote naowajua wamekufa kwenye hiyo ajali! Mama yake hata namba yake sithubutu kuipiga.
Jamani Xspin wangu mie sijui nisemeje.....innalillahi wa inna illahi rajiun.
Ahsante Shishi. Japo sijaielewa hiyo bold naamini litakuwa dua jema. Ubarikiwe.
It means 'To Allah we belong and to him is our return' ni dua ya kutamka kila jambo baya linapokukuta...sio kifo tu.
Mwenyewe nilichomoka kidogo nikaipiga kiaina lakini naona haijasaidia saaana! Haya mambo bana! Kinachoniuma huyu swahiba nampigia simu inaiiiita weeee hapokei! he is driving me crazy! Ame kolapsi au?