Am so much in love with excellent

Am so much in love with excellent

HIZO FEELINGS ZENU ZA KUPENDANA MUWE MNATUMIANA PRIVATE MESSAGES HAkUNA MTU ANAYETAKA KUJUA FEELINGS ZAKO KWA MTU FULANI.
 
HIZO FEELINGS ZENU ZA KUPENDANA MUWE MNATUMIANA PRIVATE MESSAGES HAkUNA MTU ANAYETAKA KUJUA FEELINGS ZAKO KWA MTU FULANI.

hehehe king unaongea kwa jazba inakuuma nini?queen hayupo nini?
 
Am a female aged 26,am a Tanzanian.Am a poet by proffession.And i love excellent so so much,i want him to be my future husband.Please friends help me by telling him that
Hiyo picha hapo ni wewe?Mnaweza mkapendana halafu mkikutana mkapigana chini right away!
 
Hiyo picha hapo ni wewe?Mnaweza mkapendana halafu mkikutana mkapigana chini right away!

yani huyo kafanana na mimi kwa mbaaali lakini nimemzidi mng'ao.wala hilo halitatokea nampenda kweli
 
yani huyo kafanana na mimi kwa mbaaali lakini nimemzidi mng'ao.wala hilo halitatokea nampenda kweli
Ni kweli,lakini mkikutana kwa mara ya kwanza halafu mmoja wenu akakuta ya tofauti na yale aliyotarajia,then hapo kunaanza utata.
Ndo ukweli huo,umeshajuwa anapendelea nini inapokuja kwa kina dada?
 
Ni kweli,lakini mkikutana kwa mara ya kwanza halafu mmoja wenu akakuta ya tofauti na yale aliyotarajia,then hapo kunaanza utata.
Ndo ukweli huo,umeshajuwa anapendelea nini inapokuja kwa kina dada?

niombee mema tu ndugu yangu.
 
Umempenda yeye au picha yake au hoja zake na comments zake humu JF?
 
Da'ghafla simpendi tena,ilikuwa ni emotional stress
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom