Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,974
- 13,431
Mlazimishe akupe anuani ya hilo Kanisa ili na mie nianze kusali. Nalog offhe he wala mimi sio mama mchungaji jamani
Mlazimishe akupe anuani ya hilo Kanisa ili na mie nianze kusali. Nalog offhe he wala mimi sio mama mchungaji jamani
Hapana hanitanii,ndivyo nilivyo. Nalog offKhaa!!! Una utani na washawasha? Hahahaaa, alafu utapeperusha ndege wa ekselenti wajameni.......mweeh!
Mkuu mie siwezi kukuchukulia my wife wako,we jiachie tu. Nalog offnaona amenikimbia au ameshachukuliwa na washawasha
Mlazimishe akupe anuani ya hilo Kanisa ili na mie nianze kusali. Nalog off
mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa naibiwaaaaaaaaaaaaakhaa,haya nitafanya hivyo promise
Usìhofu my pipo,huibiwi wala nini. Nalog offmamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa naibiwaaaaaaaaaaaaa
mamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa naibiwaaaaaaaaaaaaa
mi nashangaa bwana ninaye mie mamndenyi na dena amsi wanakata mauno, ya nini?
gozo teh teh teh umenichekeshamchumu mchumu mwaaaah mchumu tena mchumu mchumu mwaaaah..
gozo teh teh teh umenichekesha
siunajua usiku vidole vimechoka basi vinamwaga mabusu tu bila kurusha mate na wewe nikupe?
mhh umpe nani?mume wa mtu?
umemsaidia lakini mumeo wa post via mobile coz analalamika mkewe wa kuta nne za nyumba kutwa anamuimbia taarabu na kumtikisia masaburi kama akina dada wa ndembe ndembe kanga moko laki si pesa million mbwembwe..
usiku mwema my diahaha jamani hny uibiwe na nani tena laazizi wangu?
usiku mwema my dia
shika sana ulicho nacho
akikuzingua uje kwangu nitakupa tulizo la moyoUwii mbona nazidi kumpenda huyu mwanaume jamani?
unamaanisha?sina hata mpango wa kukiachia,hapa nimefika