Am looking a girlfriend

Am looking a girlfriend

Mwina paul jr

Member
Joined
Jun 14, 2014
Posts
6
Reaction score
1
Jamani m naitwa lameck paul nina umri wa miaka 19 na mwanafunzi wa kidato cha tano..natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 18 hadi 17 ambaye maji ya kunde even black can be considered..ambae atakua tayari anichek kuptia 0659325453 n mi nyumban ni mwanza
 
Soma boya ww, usipoangalia division 0 around the corner, mtoto mdogo unapenda mambo mazito, ny*ge mshindo zinakuzidi nguvu??
 
hahahaha, Mi rangi yangu sio maji ya kunde, halafu miaka 16. vipi?
 
Hiyo sread yako ungeandika kwa kiswahili......ungeeleweka vizuri!
USHAURI WA BUREEEEE: Soma kijana, achana na mambo hayo! Vinginevyo divisheni 5 itakuwa saizi yako!
 
Jamani m naitwa lameck paul nina umri wa miaka 19 na mwanafunzi wa kidato cha tano..natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 18 hadi 17 ambaye maji ya kunde even black can be considered..ambae atakua tayari anichek kuptia 0659325453 n mi nyumban ni mwanza

We kidato cha tano ung'eng'e umekupita kushoto, hebu jitahidi kwanza na masomo halafu uje utafute mchumba.
 
Mdogo wangu edit heading yako andika AM LOOKING FOR A GIRLFRIEND au tupia kiswahili kabisa utaeleweka vizuri zaidi kila la kheri.
 
Jamani m naitwa lameck paul nina umri wa miaka 19 na mwanafunzi wa kidato cha tano..natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 18 hadi 17 ambaye maji ya kunde even black can be considered..ambae atakua tayari anichek kuptia 0659325453 n mi nyumban ni mwanza

Dogo nakushauri tafuta marafiki hasa wanaosoma combination yako ili mbadilishane mawazo kimasomo, kwa sasa watakupoteza hao wanawake.
 
Jamani m naitwa lameck paul nina umri wa miaka 19 na mwanafunzi wa kidato cha tano..natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 18 hadi 17 ambaye maji ya kunde even black can be considered..ambae atakua tayari anichek kuptia 0659325453 n mi nyumban ni mwanza

Nipo tayari ila utanioa lini mchumba?
 
Jamani m naitwa lameck paul nina umri wa miaka 19 na mwanafunzi wa kidato cha tano..natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 18 hadi 17 ambaye maji ya kunde even black can be considered..ambae atakua tayari anichek kuptia 0659325453 n mi nyumban ni mwanza

Soma kwanza dogo, soma achana na hiyo kitu kabisa kwa sasa... umri wenyewe huo bado
 
Back
Top Bottom