Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hahahaaa ina maana unataka kusema Bi Mkora ni fiati?iyo 23 ni number tu braza...fiati na ukubwa wake ule inatekenywa na kaufunguo kadogooo...na linaondoka!
Acha maneno mabaya kwa mpenzi wako
Hahahaaa ina maana unataka kusema Bi Mkora ni fiati?iyo 23 ni number tu braza...fiati na ukubwa wake ule inatekenywa na kaufunguo kadogooo...na linaondoka!
Ana pasaka ngapi kwani ye ni Mama mchungaji?wewe ukiona mtu kabeba begi tu unajua kasafiri sio?mjini hapa...una pasaka ngapi mpaka sasa?...naona mambo huyajui..teheheee
pamoja na copy-paste lakini naona MICHAPIO kibao...japo kidhungu hata mm hakipandi...LOL