[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mkuu umeuwa, badala ya kumshauri we unapigilia msumari!Ume CRUSH kwenye Air Malaysia [emoji3]
Acheni hizoYour style of writing profiles a no-keeper type. 29er should be a woman, not a girl. Maybe that's what scaring the brothaman away, I would be. You need some self evaluation first, otherwise you'll keep taking them Ls.
Mweh......Nitakujibu kama mwanaume katika mazingira yangu ya asili.
Mwanamke mwenye vigezo vyangu akiwa anaonesha ananielewa hata kama nina mtu nitampa attention inayotakiwa na inawezekana hata tukawa wapenzi.
Asiye na vigezo nitafanya kama huyo jamaa anavyokufanyia kisha kuna siku nitakuita eneo la tukio, najua hauwezi kukataa, nakumega then kila mtu na njia yake.
Au najenga mazingira ujione wewe ndiyo mhitaji, usishangae ukajikuta unagharamia out zote mpaka lodge ukaja kulipia wewe.
By the way, hivi unajua hata ukiwa na urafiki na mtu ni uhusiano huo?
Acheni hizo
29 bado binti mbichi kabisa
HahahahahaHaha, mpendwa unampotosha mwenzio.
Hahaaaa you are wrong .... So unataka MTU apate tu mzigo bila kumake efforts??Ego in a sense kwamba mnaona mkimpa *k* mwanaume ni mmempa kiki sana a.k.a shout out..hizo *k* kwani zimetengenezwa na tanzanite? ms nnana
Hahaaaa you are wrong .... So unataka MTU apate tu mzigo bila kumake efforts??
Afu MTU anaetoa mzigo kirahisi oo mnasema maharage ya mbeya.. Mnataka tuweje???
Then you ain't deserving the particular girl...she ll get the one she deserveKuna tofauti ya efforts na kuzungushana unreasonably for 11 months, mm mwanamke nkimtongoza hlf akanizungusha mda mreefu bila kunipa tunda ntajua kuwa huyu hanipendi, tena huko kwenye kuzungushana kwenyewe kila cku mpaka umtafte yy tu, hizo suluba siziwezi ms nnana
kwa huu mtindo wako wa uandishi inaonekana ww ni sistaduu tu,hivyo huna vigezo vya kuwa wife material.kaa chini fikiria wapi ulipokosea kisha amka songa mbele.I'm 29 yrs old now. I have never been in any relationship, like serious, sina boyfriend hadi sasa. Although I had several crushes over some men, but neither of them didn't work because they were just crushes. Here I am again facing another case.
Kuna kijana nimetokea kumpenda jinsi alivyo tu, yaani I wish he can be more than a boyfriend nadhani naenda mbali kidogo. Kuna some coincidences zinatokea tunapokutana maana we work at the same place, to the extent that I think like he is mine. Kuna siku nilitamani kumwambia but I was so afraiding of speaking it out.
Kwa jinsi alivyo is like he is single nilikua tu namsoma nikajitoa kumuuliza status yake. Akanambia ataoa hivi punde, I will never forget nililia sana usiku. Yaani niliumia wiki nzima, ni kama kuachwa nadhani. Up to now I'm trying to move on and the guy doesn't know that he has broken my heart. Siku zinazidi kwenda afu sioni dalili za yeye kuoa, but I'm trying to let him go.
Japo kila nikifikiria naumia that's why najiuliza if it's just a crush or falling in love.. The man is good in keeping in touch with people in communication wise but unfortunately kwangu mimi ni kama may be I'm not his type although he is just a friend because he doesn't text me, sometimes he doesn't reply my texts, or even pick up my calls.
Inauma lakini ndo hivo inabidi nimuache aende. [emoji124]. Ijapokuwa kuna wakati nikijisikia upweke naumia, lakini ndo hivo afu kuna wakati natamani nimshirikishe jambo hasa la kufurahisha then napotezea maana ndo hivo najua atachukulia poa.
Yeye hunitafuta tu Pale akihitaji msaada wangu, otherwise he does not call or text. This makes me feel bad anyway he just doesn't know... Hakika moyo sukuma damu...
hahahaaa.. eti asipokupa hakupendi.. khaa.. kupenda ni zaidi ya sex. mbona mnapewa na bado mnawatema wanaowapatia? tena unakuta binti wa watu kajitoa kama nini na bado anaachwa..yaani wanaume mpewe , msipewe, kama hamu mpendi mwanamke ni kazi bure.Kuna tofauti ya efforts na kuzungushana unreasonably for 11 months, mm mwanamke nkimtongoza hlf akanizungusha mda mreefu bila kunipa tunda ntajua kuwa huyu hanipendi, tena huko kwenye kuzungushana kwenyewe kila cku mpaka umtafte yy tu, hizo suluba siziwezi ms nnana
hahahaaa.. eti asipokupa hakupendi.. khaa.. kupenda ni zaidi ya sex. mbona mnapewa na bado mnawatema wanaowapatia? tena unakuta binti wa watu kajitoa kama nini na bado anaachwa..yaani wanaume mpewe , msipewe, kama hamu mpendi mwanamke ni kazi bure.
I'm 29 yrs old now. I have never been in any relationship, like serious, sina boyfriend hadi sasa. Although I had several crushes over some men, but neither of them didn't work because they were just crushes. Here I am again facing another case.
Kuna kijana nimetokea kumpenda jinsi alivyo tu, yaani I wish he can be more than a boyfriend nadhani naenda mbali kidogo. Kuna some coincidences zinatokea tunapokutana maana we work at the same place, to the extent that I think like he is mine. Kuna siku nilitamani kumwambia but I was so afraiding of speaking it out.
Kwa jinsi alivyo is like he is single nilikua tu namsoma nikajitoa kumuuliza status yake. Akanambia ataoa hivi punde, I will never forget nililia sana usiku. Yaani niliumia wiki nzima, ni kama kuachwa nadhani. Up to now I'm trying to move on and the guy doesn't know that he has broken my heart. Siku zinazidi kwenda afu sioni dalili za yeye kuoa, but I'm trying to let him go.
Japo kila nikifikiria naumia that's why najiuliza if it's just a crush or falling in love.. The man is good in keeping in touch with people in communication wise but unfortunately kwangu mimi ni kama may be I'm not his type although he is just a friend because he doesn't text me, sometimes he doesn't reply my texts, or even pick up my calls.
Inauma lakini ndo hivo inabidi nimuache aende. [emoji124]. Ijapokuwa kuna wakati nikijisikia upweke naumia, lakini ndo hivo afu kuna wakati natamani nimshirikishe jambo hasa la kufurahisha then napotezea maana ndo hivo najua atachukulia poa.
Yeye hunitafuta tu Pale akihitaji msaada wangu, otherwise he does not call or text. This makes me feel bad anyway he just doesn't know... Hakika moyo sukuma damu...