Am I falling in love or is just a crush?

Am I falling in love or is just a crush?

What do u want,to keep the man or let him go?ask God what you want..,
 
Wenzio wa umri huo saivi wanalea vijukuu,wewe bado unahangaika kujigonga kwa mtu asiyekutaka!
Pole,nyie ndo wale enzi za usichana wenu mlikua mnajidai kuchagua wanaume mara ooh nataka amazing man,handsome,lovly nd caring.
Usitusumbue tena..acha kubambia wanaume wa wenzio.
Hahahaa, kweli mahindi humuotea asiye na meno.
 
I'm 29 yrs old now. I have never been in any relationship, like serious, sina boyfriend hadi sasa. Although I had several crushes over some men, but neither of them didn't work because they were just crushes. Here I am again facing another case.

Kuna kijana nimetokea kumpenda jinsi alivyo tu, yaani I wish he can be more than a boyfriend nadhani naenda mbali kidogo. Kuna some coincidences zinatokea tunapokutana maana we work at the same place, to the extent that I think like he is mine. Kuna siku nilitamani kumwambia but I was so afraiding of speaking it out.

Kwa jinsi alivyo is like he is single nilikua tu namsoma nikajitoa kumuuliza status yake. Akanambia ataoa hivi punde, I will never forget nililia sana usiku. Yaani niliumia wiki nzima, ni kama kuachwa nadhani. Up to now I'm trying to move on and the guy doesn't know that he has broken my heart. Siku zinazidi kwenda afu sioni dalili za yeye kuoa, but I'm trying to let him go.

Japo kila nikifikiria naumia that's why najiuliza if it's just a crush or falling in love.. The man is good in keeping in touch with people in communication wise but unfortunately kwangu mimi ni kama may be I'm not his type although he is just a friend because he doesn't text me, sometimes he doesn't reply my texts, or even pick up my calls.

Inauma lakini ndo hivo inabidi nimuache aende. . Ijapokuwa kuna wakati nikijisikia upweke naumia, lakini ndo hivo afu kuna wakati natamani nimshirikishe jambo hasa la kufurahisha then napotezea maana ndo hivo najua atachukulia poa.

Yeye hunitafuta tu Pale akihitaji msaada wangu, otherwise he does not call or text. This makes me feel bad anyway he just doesn't know... Hakika moyo sukuma damu...
Nitafute nikwambie wanaume wa aina hiyo tukoje/tuna ingilika vipi.
 
I'm 29 yrs old now. I have never been in any relationship, like serious, sina boyfriend hadi sasa. Although I had several crushes over some men, but neither of them didn't work because they were just crushes. Here I am again facing another case.

Kuna kijana nimetokea kumpenda jinsi alivyo tu, yaani I wish he can be more than a boyfriend nadhani naenda mbali kidogo. Kuna some coincidences zinatokea tunapokutana maana we work at the same place, to the extent that I think like he is mine. Kuna siku nilitamani kumwambia but I was so afraiding of speaking it out.

Kwa jinsi alivyo is like he is single nilikua tu namsoma nikajitoa kumuuliza status yake. Akanambia ataoa hivi punde, I will never forget nililia sana usiku. Yaani niliumia wiki nzima, ni kama kuachwa nadhani. Up to now I'm trying to move on and the guy doesn't know that he has broken my heart. Siku zinazidi kwenda afu sioni dalili za yeye kuoa, but I'm trying to let him go.

Japo kila nikifikiria naumia that's why najiuliza if it's just a crush or falling in love.. The man is good in keeping in touch with people in communication wise but unfortunately kwangu mimi ni kama may be I'm not his type although he is just a friend because he doesn't text me, sometimes he doesn't reply my texts, or even pick up my calls.

Inauma lakini ndo hivo inabidi nimuache aende. . Ijapokuwa kuna wakati nikijisikia upweke naumia, lakini ndo hivo afu kuna wakati natamani nimshirikishe jambo hasa la kufurahisha then napotezea maana ndo hivo najua atachukulia poa.

Yeye hunitafuta tu Pale akihitaji msaada wangu, otherwise he does not call or text. This makes me feel bad anyway he just doesn't know... Hakika moyo sukuma damu...
Tofauti kati ya being in crush na real love its time.
Take ur time they say if the feelings exceeds four month its not the crush its real love.
 
Naona dalili za mbuzi mgonjwa akafia kwa muuza supu.

Inaonekana jamaa haumo moyoni mwake, ndio maana akakujibu kama karibuni anaowa.

Kwanini usimwambie unavyojihisi moyoni mwako juu yake? Mimi siwezi kuzuwia hisia moyoni kabisa, nikikubaliwa poa nikikataliwa poa tu lakini la moyoni lishatoka.
Nashangaa kuomba kazi mnaweza tena kwenye interview mnajielezea vizuri hatari. lakini kumwabia mtu unamtaka mnashindwa.


Ndukiiiii
Kwa kumsaidia tu wanaume wengi huwa hatukatai tukitokewa na demu so awe makin asije liwa mzigo jamaa akasepa
 
just go on....talk to him, tell him,, yes on no,,,, all are the answers.......usijikondeshe bibie.....maisha matamu balaa..
 
Nakuonea huruma,kuna aina ya wanawake kama ww ambao ni wachache sana,mkipenda mnapenda kweli na mara nyingi huwa mnaangukia kwa wanaume ambao sio mliostahili,lakini mna nguvu kubwa sana ya kubadilisha mienendo ya maisha yao,lakini kubadilisha huku ni mpaka mtapoachana na atapoanza kujua thamani ya uwepo wake kwako,mnajitoa sana kwenye mahusiano yenu,lakini the worse thing huwa mnaangukia pabaya, niliwahi kuwa na girlfriend kama ww,aliyepitia hali kama yako
Siwezi kusema i was good to her,but i tried my level best ikafikia muda ule upweke wa miaka yote ukamuisha na akahisi am the right guy, ilifikia kipindi anatoa machozi ya furaha,kakaa tu anakutazama analia,ukimuuliza anakwambia sababu ni ww,u came into her life and change everthing,but guess what? Sikuwa mkweli kwake alipojua aliumia na akalia zaid ya yale machozi yake ya furaha...

Sasa ni mwaka tumeachana,but am still her favorite ex boyfriend,na mimi sijui kama ntamsahau maisha na mienendo yangu imebadilika kupitia yeye
Cha kukushauri,
Hakuna perfect lover katika dunia hii, tafuta mmoja kama ni huyo bas muoneshe na umjengee upendo akupende kabla ya kumuambia,
Kisha jifunze kumpenda na jifunze kuishi na mapungufu yake
And you will be happy for the rest of ur life
Good luck
 
Men are very straight hawana longolongo. Kama angekua hata amekutamani tu ungejua immediately coz wanajua kusoma kama girl anaonyesha ishara ya kuvutiwa.
So just walk away. I believe you dont have to work that hard to find a true love. Mungu akimleta utamjua tu, its just obvious. Keep praying
 
I'm 29 yrs old now. I have never been in any relationship, like serious, sina boyfriend hadi sasa. Although I had several crushes over some men, but neither of them didn't work because they were just crushes. Here I am again facing another case.

Kuna kijana nimetokea kumpenda jinsi alivyo tu, yaani I wish he can be more than a boyfriend nadhani naenda mbali kidogo. Kuna some coincidences zinatokea tunapokutana maana we work at the same place, to the extent that I think like he is mine. Kuna siku nilitamani kumwambia but I was so afraiding of speaking it out.

Kwa jinsi alivyo is like he is single nilikua tu namsoma nikajitoa kumuuliza status yake. Akanambia ataoa hivi punde, I will never forget nililia sana usiku. Yaani niliumia wiki nzima, ni kama kuachwa nadhani. Up to now I'm trying to move on and the guy doesn't know that he has broken my heart. Siku zinazidi kwenda afu sioni dalili za yeye kuoa, but I'm trying to let him go.

Japo kila nikifikiria naumia that's why najiuliza if it's just a crush or falling in love.. The man is good in keeping in touch with people in communication wise but unfortunately kwangu mimi ni kama may be I'm not his type although he is just a friend because he doesn't text me, sometimes he doesn't reply my texts, or even pick up my calls.

Inauma lakini ndo hivo inabidi nimuache aende. . Ijapokuwa kuna wakati nikijisikia upweke naumia, lakini ndo hivo afu kuna wakati natamani nimshirikishe jambo hasa la kufurahisha then napotezea maana ndo hivo najua atachukulia poa.

Yeye hunitafuta tu Pale akihitaji msaada wangu, otherwise he does not call or text. This makes me feel bad anyway he just doesn't know... Hakika moyo sukuma damu...

Ume CRUSH kwenye Air Malaysia
 
Naona dalili za mbuzi mgonjwa akafia kwa muuza supu.

Inaonekana jamaa haumo moyoni mwake, ndio maana akakujibu kama karibuni anaowa.

Kwanini usimwambie unavyojihisi moyoni mwako juu yake? Mimi siwezi kuzuwia hisia moyoni kabisa, nikikubaliwa poa nikikataliwa poa tu lakini la moyoni lishatoka.
Nashangaa kuomba kazi mnaweza tena kwenye interview mnajielezea vizuri hatari. lakini kumwabia mtu unamtaka mnashindwa.


Ndukiiiii
Kwa case ya huyu bi dada na alivyoelezea, akimwambia alafu akakataliwa she will feel like the whole world is striking against her. Less otherwise akubaliwe na hapo ndipo atakapokuwa na furaha kuliko wanawake wote duniani.
By the way that's ain't a crush but intensive feelings of caring over the guy. SHE IS DAMN IN LOVE WITH THE GUY
 
Nakuonea huruma,kuna aina ya wanawake kama ww ambao ni wachache sana,mkipenda mnapenda kweli na mara nyingi huwa mnaangukia kwa wanaume ambao sio mliostahili,lakini mna nguvu kubwa sana ya kubadilisha mienendo ya maisha yao,lakini kubadilisha huku ni mpaka mtapoachana na atapoanza kujua thamani ya uwepo wake kwako,mnajitoa sana kwenye mahusiano yenu,lakini the worse thing huwa mnaangukia pabaya, niliwahi kuwa na girlfriend kama ww,aliyepitia hali kama yako
Siwezi kusema i was good to her,but i tried my level best ikafikia muda ule upweke wa miaka yote ukamuisha na akahisi am the right guy, ilifikia kipindi anatoa machozi ya furaha,kakaa tu anakutazama analia,ukimuuliza anakwambia sababu ni ww,u came into her life and change everthing,but guess what? Sikuwa mkweli kwake alipojua aliumia na akalia zaid ya yale machozi yake ya furaha..........
Yaani nimeisoma hii story nimeipenda kuanzia mwanzo kufikia hapo chini nikasikitika tena
 
Back
Top Bottom