Am I a loner,selfish?

Wewe uko kama mimi ila mimi tabia hii imenicost sana na ndio nashindwa kubadilika. Sipendi sana Kiwingu!
 
Same here


Mie kama sina issue ya kufanya naweza ingia ndani ijumaa nikatoka jumatatu
 
Mimi nirahisi kujichanganya na jinsia ya kiume,lakini huwa napata taabu mno kujichanganya na watoto wa kike, hasa nikiwakuta wako wengi nina aibu wananiita baba paroko kazini sijui jinsi ya kulitatua hili tatizo
 
Hiyo ni tabia nzuri sana.

Kwa kuwa hivyo unaepuka UGOMVI, UMBEA na unapata muda wa kutafakari mengi kuhusu maisha yako.

Ila inapendeza zaidi ukiwa peke yako pia usome BIBLIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…