Am back, the New Dr. Marcossy Albanie

Marcossy A.M

Member
Aug 21, 2008
61
24
Wagumu,
Baada ya takribani miaka minne ya uvumilivu na kujitenga nimerejea hapa jukwaani tuendelee kujadiliana na kupashana habari zenye tija kwa nchi yetu. Miaka minne hii niliitumia kwa mambo makubwa matatu:
1. Kujiendeleza kielimu na kukamilisha utafiti: Hii ikumbukwe ni kujiweka sawa kiakili na kuongeza uzito wa heshima jukwaani kufikia PhD ambayo mwisho wa mwaka 2016 nilitunukiwa pale SuA. Lakini pia iliendana na kukamilisha utafiti wangu juu ya Umasikini Tanzania (kuna mengi ya kuongea hapa);
2. Kushiriki ipasavyo kwenye siasa na uongozi wa nchi. Itakumbukwa kuwa nilijitosa jimbo la Morogoro Mjini 2015. Pamoja na kumabulia nafasi ya pili lakini kuna mengi nimejifunza na bado ni masomo sahihi kwa wanasiasa wetu na hatima ya uongozi wa nchi yetu; na
3. Kuweka mawazo, masomo na mitazamo yangu kwenye maandishi (naogopa kufa bila kuacha alamu jumuishi shirikishi fungashio). Nimekamilisha kuandika kitabu changu cha kwanza: Why is Tanzania Poor? Na ambacho kwa sasa kinapatikana mitandaoni na kwa kuagiza amazon.com. Ninaamini taarifa na uchambuzi wa yaliyomo huko yatasaidia sana nchi yetu na wanaoijali.

Kwa sasa napatikana,
Asanteni
 
Wagumu,
Baada ya takribani miaka minne ya uvumilivu na kujitenga nimerejea hapa jukwaani tuendelee kujadiliana na kupashana habari zenye tija kwa nchi yetu. Miaka minne hii niliitumia kwa mambo makubwa matatu:
1. Kujiendeleza kielimu na kukamilisha utafiti: Hii ikumbukwe ni kujiweka sawa kiakili na kuongeza uzito wa heshima jukwaani kufikia PhD ambayo mwisho wa mwaka 2016 nilitunukiwa pale SuA. Lakini pia iliendana na kukamilisha utafiti wangu juu ya Umasikini Tanzania (kuna mengi ya kuongea hapa);
2. Kushiriki ipasavyo kwenye siasa na uongozi wa nchi. Itakumbukwa kuwa nilijitosa jimbo la Morogoro Mjini 2015. Pamoja na kumabulia nafasi ya pili lakini kuna mengi nimejifunza na bado ni masomo sahihi kwa wanasiasa wetu na hatima ya uongozi wa nchi yetu; na
3. Kuweka mawazo, masomo na mitazamo yangu kwenye maandishi (naogopa kufa bila kuacha alamu jumuishi shirikishi fungashio). Nimekamilisha kuandika kitabu changu cha kwanza: Why is Tanzania Poor? Na ambacho kwa sasa kinapatikana mitandaoni na kwa kuagiza amazon.com. Ninaamini taarifa na uchambuzi wa yaliyomo huko yatasaidia sana nchi yetu na wanaoijali.

Kwa sasa napatikana,
Asanteni
Be blessed... welldone, Taifa linahitaji modeli kama zako !!
 
hongera sana kaka Dr Marcossy na karibu sana jukwaani.mi huwa navutiwa na utulivu wako pamoja na kwamba sijapata na nafasi ya kukusikiliza/kukuona vizuri kwenye majukwaa ya majadiliano.
 
Jana nilikusikiliza na kukuona ITV, Malumbano ya Hoja. Kuhusu kitabu (Kwanini Tanzania ni Masikini) nikihitaji hard copy napata wapi. Hongera sana Kaka. Marcossy A.M
 
Wagumu,
Baada ya takribani miaka minne ya uvumilivu na kujitenga nimerejea hapa jukwaani tuendelee kujadiliana na kupashana habari zenye tija kwa nchi yetu. Miaka minne hii niliitumia kwa mambo makubwa matatu:
1. Kujiendeleza kielimu na kukamilisha utafiti: Hii ikumbukwe ni kujiweka sawa kiakili na kuongeza uzito wa heshima jukwaani kufikia PhD ambayo mwisho wa mwaka 2016 nilitunukiwa pale SuA. Lakini pia iliendana na kukamilisha utafiti wangu juu ya Umasikini Tanzania (kuna mengi ya kuongea hapa);
2. Kushiriki ipasavyo kwenye siasa na uongozi wa nchi. Itakumbukwa kuwa nilijitosa jimbo la Morogoro Mjini 2015. Pamoja na kumabulia nafasi ya pili lakini kuna mengi nimejifunza na bado ni masomo sahihi kwa wanasiasa wetu na hatima ya uongozi wa nchi yetu; na
3. Kuweka mawazo, masomo na mitazamo yangu kwenye maandishi (naogopa kufa bila kuacha alamu jumuishi shirikishi fungashio). Nimekamilisha kuandika kitabu changu cha kwanza: Why is Tanzania Poor? Na ambacho kwa sasa kinapatikana mitandaoni na kwa kuagiza amazon.com. Ninaamini taarifa na uchambuzi wa yaliyomo huko yatasaidia sana nchi yetu na wanaoijali.

Kwa sasa napatikana,
Asanteni
kama kwenye hicho kitabu chako umeingiza unazi wako wa CHADEMA useme tusihangaike kukitafuta
 
Wagumu,
Baada ya takribani miaka minne ya uvumilivu na kujitenga nimerejea hapa jukwaani tuendelee kujadiliana na kupashana habari zenye tija kwa nchi yetu. Miaka minne hii niliitumia kwa mambo makubwa matatu:
1. Kujiendeleza kielimu na kukamilisha utafiti: Hii ikumbukwe ni kujiweka sawa kiakili na kuongeza uzito wa heshima jukwaani kufikia PhD ambayo mwisho wa mwaka 2016 nilitunukiwa pale SuA. Lakini pia iliendana na kukamilisha utafiti wangu juu ya Umasikini Tanzania (kuna mengi ya kuongea hapa);
2. Kushiriki ipasavyo kwenye siasa na uongozi wa nchi. Itakumbukwa kuwa nilijitosa jimbo la Morogoro Mjini 2015. Pamoja na kumabulia nafasi ya pili lakini kuna mengi nimejifunza na bado ni masomo sahihi kwa wanasiasa wetu na hatima ya uongozi wa nchi yetu; na
3. Kuweka mawazo, masomo na mitazamo yangu kwenye maandishi (naogopa kufa bila kuacha alamu jumuishi shirikishi fungashio). Nimekamilisha kuandika kitabu changu cha kwanza: Why is Tanzania Poor? Na ambacho kwa sasa kinapatikana mitandaoni na kwa kuagiza amazon.com. Ninaamini taarifa na uchambuzi wa yaliyomo huko yatasaidia sana nchi yetu na wanaoijali.

Kwa sasa napatikana,
Asanteni
Heshima kwako Mkuu, nimeangalia mijadala mbalimbali uliyoshiriki na naweza kusema wwe ni mmoja ya watu makini kabisa katika tasnia ya wasomi hapa nchini..... Ni ndoto yangu cku moja kuona unapata uongozi wa juu ngazi ya chama hadi taifa naamini utapata uwanja mpana zaidi wa kuapply yale yote ulionayo kichwani mwako kuwaokoa watanzania

Mungu akubariki sana
 
karibu tena Dr hongera kwa phd, kwa kitabu na kwa ushindi wa pili kwenye uchaguzi.
Ushindi wa pili ndo kitu gani ww, acha kutoa hongera zizizokua na maana. Ki ufupi me pia nilimmiss jamaa na hongera zake kwa kuongeza shule.
 
Karibu Sana mkuu uje ushirikiane na viongozi wa kitanzania kutatua changamoto za kijamii, kiuchumi na kisiasa za nchi yetu

Naamini Elimu yako itakuwa ni ya faida sana kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu
 
Back
Top Bottom