Walisambaza huko kwenye magroup ya wasap wakisema ni Darisalama kumbe ni Murogoro.
Ameiweka mkuuMkuu hy video unayo uniwekee kwa faida ya wengi
MTC | 101| [emoji769]
Acha tu, nimeumia zaidi pale dogo analia mnaniuwaaa, maisha hayaIla yule baba si kwa utupu ule..nilivyoiangalia ile video hadi tumbo likatetema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, utajiri mwingine huu jamaniIlikuwa morogoro na huyo jamaa alivyotolewa akawa anahojiwa akasema alitaka kumtoa sadaka mwanaye
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpuuzi sana huyo wenzie tunatoa pesa kama sadaka ye anatoa mtoto.... Maagano mengine ni ya kijinga sana..... Hii dunia tunapita, Kuna cha kujibu mbele huko...... Nimesikitika sana,,,Msumeno na panga alikuwa navyo kabla ya kukimbilia kwenye maporomoko na kabla hajavua nguo polisi walivyokuja ndio akakimbilia sehemu ya maporomoko huku akitoa tahadhar kuwa asisogelewe kwakuwa anataka kutoa sadaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Brain concussion.Hivi kina nini kile kitako? Mbona mtu ukipigwa nacho unalainika kama uyoga?
Huyu mwanaume akafungwe kifungo cha maisha, huko ndani wanaume wamfanye yao.............ndiyo adhabu stahiki, why kutaka kuondoa maisha ya malaika wa Mungu kikatili vileMpuuzi sana huyo wenzie tunatoa pesa kama sadaka ye anatoa mtoto.... Maagano mengine ni ya kijinga sana..... Hii dunia tunapita, Kuna cha kujibu mbele huko...... Nimesikitika sana,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Askari wale wamejitahidi sana,kumbuka pale siyo nchi kavu na wale ni askari wa nchi kavu.Nimewadharau hao mnaosema askari huyo wanyuma alishindwa kumpiga hata roba moja matata nakushuka nae chini yamaji nakumuibua nakumzamisha tena nakumuibua kama mara tatu akili yake ingekaa sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee..., concussion ni neno tamu sana, natamani hili neno livume kama beberuBrain concussion.
A concussion is a mild traumatic brain injury (TBI).
It can occur after an impact to your head or after a whiplash-type injury that causes your head and brain to shake quickly back and forth.
Jibu kutoka mitandaoni.