Almanusura mtoto atolewe kafara

Almanusura mtoto atolewe kafara

WEKA UTHIBITISHO HAPA KAMA LILIKUWA TUKIO LA KAFARA. KWA MAELEZO YA MKEWE NI KUWA JAMAA AMAECHANGANYIKIWA .WEWE UNAKUJA KUDAI KAFARA. MSHANA MENGINE UWE UNAYAACHA TU YAPITE SI LAZIMA USEMEE HATA KAMA SI SAWA.


Hiyo ya mkewe kusema mumewe amechanganyikiwa yaweza kuwa kweli au si kweli pia!

Changamoto za makosa mengi yatokanayo na ulawiti, ubakwaji, makafala n.k mara nyingi hufanya na wanafamilia wa karibu au majirani.

Cha ajabu unakuta mwanafamilia au wanafamilia ndiyo huwa wa kwanza kuharibu kesi nzima tangu maelezo ya awali.

Lakini mahakama inauzoefu wa kesi za aina mbali mbali kwa hiyo wataweza kuona kama kweli jamaa alikuwa kachangangikiwa au la!

Lakini hiyo yaweza kuwa mbinu tu ya kujaribu kumsaidia mtuhumiwa!

Hizi jamii zetu sometimes!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaamini akisema kuwa jamaa hayuko njema kichwani atakuwa amemsaidia mtuhiwa kuepukana na adhabu "stahili" ? Sidhani. Kiukweli. Wakati sisi waafrika tunakimbilia kuamini ni kafara wenzetu wangeangalia akili ya mhusika.sababu mimi sitaki amini alichokifanya amekifanya akiwa na akili timamu.

Nambie wewe Akilinjema unaweza fanya hilo?MIMI NGESEMA NA NTASEMA JAMAA HANA AKILI TIMAMU ASHUGHULIKIWE IPASAVYO.

Hiyo ya mkewe kusema mumewe amechanganyikiwa yaweza kuwa kweli au si kweli pia!

Changamoto za makosa mengi yatokanayo na ulawiti, ubakwaji, makafala n.k mara nyingi hufanya na wanafamilia wa karibu au majirani.

Cha ajabu unakuta mwanafamilia au wanafamilia ndiyo huwa wa kwanza kuharibu kesi nzima tangu maelezo ya awali.

Lakini mahakama inauzoefu wa kesi za aina mbali mbali kwa hiyo wataweza kuona kama kweli jamaa alikuwa kachangangikiwa au la!

Lakini hiyo yaweza kuwa mbinu tu ya kujaribu kumsaidia mtuhumiwa!

Hizi jamii zetu sometimes!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatugombani.mimi na wewe naamini ni watu wazima. Au nijisemee...mimi ni mtu mzima. Ingawa sometime nakuwa mtu mzima hovyo.maana hata wajinga huzeeka.sivyo?well, wala sina sababu ya kukukebehi hatufahamiani hata kidogo.

Sijakutukana.na abadani asilani sitotenda hilo.nachosema. jamaa hayupo ok kichwani.si mzima.hata kidogo.angekuwa mzima baada ya kuona polisi angeachana na ile issue.ila ukimwona tu kwa sisi wataalam wa saikolojia.tunamwona hayupo ok. Unakumbuka issue ya dr shika? Nliwahi kukwambia the man pia alikuwa na shida.ukanibishia.nadhani later ulikuja prove.

Mimi chizi maarifa hawa watu na deal nao sana katika kazi zangu.sema ni vile hatufahamiani na humu ndani sometime we try to be something else coz we are free to be anything.

Huyu jamaa hayupo ok kichwani.sasa kwa imani za kiswahili mnaweza sema lolote. Karogwa,anaenda toa kafara n.k ila ni deranged.period.

Hatugombani.pole kwa nilipokukwaza ila tukubaliane tunaporekebishana kwa fact.mimi nafahamu nachosema sababu nmehusika kumhoji mkewe,marafiki,na majirani. The man amepatwa na ukichaa flani hivi . Mengine nisiyaseme sana

Hapana sijawahi kulewa sifa hata mara moja na ni mara ngapi nimekosea na kukubali kurekebishwa? Mimi sio Mkamilifu NINAKOSEA.. mimi sio super human.. Lakini nikosoe kwa weledi sio kejeli wala dhihaka wala matusi... Nitakupotezea... Napenda challenge lakini ziendane na weledi... Mbona post hii nimekujibu?
Na kwanini unang'ang'ania kukataa ishu ya kafara wakati kaongea mlengwa na unamwamini mkewe? Yeyote anayetaka kufanya alichojaribu kufanya jamaa utasema yuko vizuri upstairs kweli?
Tubishane kwa hoja.. Tupingane kwa hoja na sio viroja kebehi na kejeli

Jr
 
Hatugombani.mimi na wewe naamini ni watu wazima. Au nijisemee...mimi ni mtu mzima. Ingawa sometime nakuwa mtu mzima hovyo.maana hata wajinga huzeeka.sivyo?well, wala sina sababu ya kukukebehi hatufahamiani hata kidogo.

Sijakutukana.na abadani asilani sitotenda hilo.nachosema. jamaa hayupo ok kichwani.si mzima.hata kidogo.angekuwa mzima baada ya kuona polisi angeachana na ile issue.ila ukimwona tu kwa sisi wataalam wa saikolojia.tunamwona hayupo ok. Unakumbuka issue ya dr shika? Nliwahi kukwambia the man pia alikuwa na shida.ukanibishia.nadhani later ulikuja prove.

Mimi chizi maarifa hawa watu na deal nao sana katika kazi zangu.sema ni vile hatufahamiani na humu ndani sometime we try to be something else coz we are free to be anything.

Huyu jamaa hayupo ok kichwani.sasa kwa imani za kiswahili mnaweza sema lolote. Karogwa,anaenda toa kafara n.k ila ni deranged.period.

Hatugombani.pole kwa nilipokukwaza ila tukubaliane tunaporekebishana kwa fact.mimi nafahamu nachosema sababu nmehusika kumhoji mkewe,marafiki,na majirani. The man amepatwa na ukichaa flani hivi . Mengine nisiyaseme sana


Approach yako ndiyo haikuwa nzuri sababu umekuwa kama umemuattach Mshana personally.

Ule ulikuwa mtazamo wake Mshana wewe sasa ulipaswa kuleta mtazamo wako kwa kusema kuwa unazani jamaa atakuwa amechanganyikiwa tu na siyo kafala kwa sababu zako zitazoshawishi au kujenga hoja yako bila kumu attack mtu mwingine binafsi.

Ukiona ni vyema waweza mtaka radhi!

Halafu naomba uniambie hii nje ya mada kidogo kwanini umejibatiza hilo jina?!

Mpatanishi!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sija mu ATTACH mshana na kitu chochote ndugu yangu. Angalia hakuna any attachment.

Approach yako ndiyo haikuwa nzuri sababu umekuwa kama umemuattach Mshana personally.

Ule ulikuwa mtazamo wake Mshana wewe sasa ulipaswa kuleta mtazamo wako kwa kusema kuwa unazani jamaa atakuwa amechanganyikiwa tu na siyo kafala kwa sababu zako zitazoshawishi au kujenga hoja yako bila kumu attack mtu mwingine binafsi.

Ukiona ni vyema waweza mtaka radhi!

Halafu naomba uniambie hii nje ya mada kidogo kwanini umejibatiza hilo jina?!

Mpatanishi!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina pa kuomb radhi. Mshana kanisoma post yangu ya mwisho kwake.amenielewa.he is an adult sisi watu wazima tunaelewana.

Jina langu ni kutokana na wenye akili kugundua kila mtu ana ukichaa/uchizi wakati flani. Naturally wenye akili wanajua hilo.ila wapumbavu hawajui kuwa ndani yao kuna ukichaa ambao hutafuta namna ya kujitokeza. Wengine kwa upumbavu (ashakum si matusi) hudhani wana akili 24/7.😁😁😁ndo shida huanzia hapo.

Approach yako ndiyo haikuwa nzuri sababu umekuwa kama umemuattach Mshana personally.

Ule ulikuwa mtazamo wake Mshana wewe sasa ulipaswa kuleta mtazamo wako kwa kusema kuwa unazani jamaa atakuwa amechanganyikiwa tu na siyo kafala kwa sababu zako zitazoshawishi au kujenga hoja yako bila kumu attack mtu mwingine binafsi.

Ukiona ni vyema waweza mtaka radhi!

Halafu naomba uniambie hii nje ya mada kidogo kwanini umejibatiza hilo jina?!

Mpatanishi!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Its alright brother... Nimekuelewa....!!!
Hatugombani.mimi na wewe naamini ni watu wazima. Au nijisemee...mimi ni mtu mzima. Ingawa sometime nakuwa mtu mzima hovyo.maana hata wajinga huzeeka.sivyo?well, wala sina sababu ya kukukebehi hatufahamiani hata kidogo.

Sijakutukana.na abadani asilani sitotenda hilo.nachosema. jamaa hayupo ok kichwani.si mzima.hata kidogo.angekuwa mzima baada ya kuona polisi angeachana na ile issue.ila ukimwona tu kwa sisi wataalam wa saikolojia.tunamwona hayupo ok. Unakumbuka issue ya dr shika? Nliwahi kukwambia the man pia alikuwa na shida.ukanibishia.nadhani later ulikuja prove.

Mimi chizi maarifa hawa watu na deal nao sana katika kazi zangu.sema ni vile hatufahamiani na humu ndani sometime we try to be something else coz we are free to be anything.

Huyu jamaa hayupo ok kichwani.sasa kwa imani za kiswahili mnaweza sema lolote. Karogwa,anaenda toa kafara n.k ila ni deranged.period.

Hatugombani.pole kwa nilipokukwaza ila tukubaliane tunaporekebishana kwa fact.mimi nafahamu nachosema sababu nmehusika kumhoji mkewe,marafiki,na majirani. The man amepatwa na ukichaa flani hivi . Mengine nisiyaseme sana

Jr
 
Kunakuaga na sungusungu sikuhiz nao wanapanda ktk difenda,

Sent using Jamii Forums mobile app
Polis ana kitambi cha mchemsho..ajui mara ya mwisho kupiga push-up walau kumi ni lini!! Unategemea Nini braza!! wanaume wanne wanashindwa Kum arrest mjinga 1..Pale alitakiwa azame Askari 1 wa kike akamate ndonga na mipira miwili ya Yule Jamaa dakika tano nyingi jamaa angemuachia mtoto..Alafu akipanda juu anapigwa rungu za miguuu mpaka Alie milio yote ya binadamu akianza kulia Kama myama ndo wanamuacha..Alafu ndo wanampeleka kwa watu wa mental problem..
 
Hatugombani.mimi na wewe naamini ni watu wazima. Au nijisemee...mimi ni mtu mzima. Ingawa sometime nakuwa mtu mzima hovyo.maana hata wajinga huzeeka.sivyo?well, wala sina sababu ya kukukebehi hatufahamiani hata kidogo.

Sijakutukana.na abadani asilani sitotenda hilo.nachosema. jamaa hayupo ok kichwani.si mzima.hata kidogo.angekuwa mzima baada ya kuona polisi angeachana na ile issue.ila ukimwona tu kwa sisi wataalam wa saikolojia.tunamwona hayupo ok. Unakumbuka issue ya dr shika? Nliwahi kukwambia the man pia alikuwa na shida.ukanibishia.nadhani later ulikuja prove.

Mimi chizi maarifa hawa watu na deal nao sana katika kazi zangu.sema ni vile hatufahamiani na humu ndani sometime we try to be something else coz we are free to be anything.

Huyu jamaa hayupo ok kichwani.sasa kwa imani za kiswahili mnaweza sema lolote. Karogwa,anaenda toa kafara n.k ila ni deranged.period.

Hatugombani.pole kwa nilipokukwaza ila tukubaliane tunaporekebishana kwa fact.mimi nafahamu nachosema sababu nmehusika kumhoji mkewe,marafiki,na majirani. The man amepatwa na ukichaa flani hivi . Mengine nisiyaseme sana
Sasa hapa ni ukichaa wake ndio umemfanya afanye alichokifanya, au hicho alichokifanya ndio kinamfanya kuwa kichaa
 
Ungekuwa ww ungeweza ?
Polis ana kitambi cha mchemsho..ajui mara ya mwisho kupiga push-up walau kumi ni lini!! Unategemea Nini braza!! wanaume wanne wanashindwa Kum arrest mjinga 1..Pale alitakiwa azame Askari 1 wa kike akamate ndonga na mipira miwili ya Yule Jamaa dakika tano nyingi jamaa angemuachia mtoto..Alafu akipanda juu anapigwa rungu za miguuu mpaka Alie milio yote ya binadamu akianza kulia Kama myama ndo wanamuacha..Alafu ndo wanampeleka kwa watu wa mental problem..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom