Almanusura mtoto atolewe kafara

Cha kushangaza huyo mtoto toka mwanzo alikuwa kimya kama kapigwa ganzi ya mwili sijui alimpa nini yaani nijuavyo kwa watoto wengine hicho kilio kingetoka hapo kingeamsha mpaka mtaa wa pili huyu sijui alilishwa nini

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda hakuwa na hofu alishatolewa na baba kuwa ni wanaogelea afu wanarudi home, na pengine alishafanya ivo kabla ili kumuaminisha mtoto ni kitendo cha kawaida
 
Back
Top Bottom