Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,868
- 79,549
Mkuu hy video unayo uniwekee kwa faida ya wengi
MTC | 101|
Mkuu hy video unayo uniwekee kwa faida ya wengi
Ukakamavu gan unautaka na wameokoa maisha yao wote au ulitaka kuskia mlio wa risasi
Na pengine sio askari wanamaji je wewe ungeweza na mafunzo ya majini huna?Nimewadharau hao mnaosema askari huyo wanyuma alishindwa kumpiga hata roba moja matata nakushuka nae chini yamaji nakumuibua nakumzamisha tena nakumuibua kama mara tatu akili yake ingekaa sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda hakuwa na hofu alishatolewa na baba kuwa ni wanaogelea afu wanarudi home, na pengine alishafanya ivo kabla ili kumuaminisha mtoto ni kitendo cha kawaidaCha kushangaza huyo mtoto toka mwanzo alikuwa kimya kama kapigwa ganzi ya mwili sijui alimpa nini yaani nijuavyo kwa watoto wengine hicho kilio kingetoka hapo kingeamsha mpaka mtaa wa pili huyu sijui alilishwa nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mwisho mtoto anapiga kelele mnaniuwa mnaniuwa kumbe ndio anaokolewa
Jr
Haa haaDa naona kagongwa kitako cha bunduki,bila shaka alihisi wameshamuua
Mzee halikuwa kwenye ulimwengu waki rohoWatakuwa walikuwa wanatekeleza yale mambo ya Mshana Jr
Mbweni kuna maporomoko?
Hivi kina nini kile kitako? Mbona mtu ukipigwa nacho unalainika kama uyoga?Jamaa kapigwa kitako cha bunduki akalegea fasta.
Noma sana.