Almanusura mtoto atolewe kafara

Almanusura mtoto atolewe kafara

Mimi nampongeza askari wa mwanzo kabisa kujitosa kwenye maji maana ameonyesha ujasiri na ukakamavu wa hali juu sana mpk kumnyang'anya mtoto,
Hawa askari wengine pamoja na kazi nzuri waliyoifanya ila walionyesha kusitasita kuingia kwenye maji, pia mtuhumiwa mwili wake unaonekena amejengeka kimazoezi nahisi na yeye pia ni askari au alishawahi kupitia mafunzo ya ukakamavu.
Nimejaribu kumuangalia mtuhumiwa kwa umakini baada ya kujitupa ndani ya maji mikononi mwake hakua na silaha ya aina yoyote.

Maendeleo hayana chama
 
Morogoro: Polisi yamkamata baba akiwa uchi na mtoto kwenye maporomoko ya maji
Mimi nampongeza askari wa mwanzo kabisa kujitosa kwenye maji maana ameonyesha ujasiri na ukakamavu wa hali juu sana mpk kumnyang'anya mtoto,
Hawa askari wengine pamoja na kazi nzuri waliyoifanya ila walionyesha kusitasita kuingia kwenye maji, pia mtuhumiwa mwili wake unaonekena amejengeka kimazoezi nahisi na yeye pia ni askari au alishawahi kupitia mafunzo ya ukakamavu.
Nimejaribu kumuangalia mtuhumiwa kwa umakini baada ya kujitupa ndani ya maji mikononi mwake hakua na silaha ya aina yoyote.

Maendeleo hayana chama

Jr[emoji769]
 
Inasemekana alikuwa kwenye maandalizi ya kumuua

Jr[emoji769]
Siyo kila mtu unaweza kufanikiwa kumuua kama ulivyopanga iwe kwa uchawi,ushirikina,bunduki,mapanga au kumdumbukiza majini au ktk shimo refu haiwezekani.

Kila binadamu ana ulinzi tofauti ukiacha ule wa jumla kwa watu wote ambao tunao.Kuna roho za ulinzi za ukoo,kuna roho za ulinzi binafsi,kuna roho za ulinzi za kila aina ambazo hujua ktk ukoo fulani yuko wapi na ana hali gani na ikitokea yuko hatarini zile roho huanza kufanya michakato ya aina mbili.
1.kumchelewesha muuwaji kwa style nyingi.
2.kuandaa mazingira ya waokoaji kwa kuandaa vyanzo vya habari na waokoaji kufika kwa wakati.


Hali hii ipo kwa binadamu lakini pia ipo ktk familia za wanyama. Baadhi ya koo za wanyama wengine hufa sana lakini koo nyingine huwa hazifi ovyo yaani simba wanaweza kumzingira nyati na wakiwa hatua za kumuua kabisa ghafla kundi la nyati wanafika kumuokoa au mbwa mwitu.
Ni maelezo mapana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom