Nubian Ancient
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 958
- 1,182
Kwenye maisha huyu ni Role Model wangu, kwingine huko, tupa kule
Hawa ndio wanasiasa wa mfano si wengine kutwa wapo social networks wana payuka payuka. Huyu sasa akiongelea ujasirilimali ana maanisha .Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Duh! Kumbe jamaa ni bilionea.Hapi aka Furaha yupo vizuri ,ana mijengo mingi na biashara zinamuingizia pesa.
Hana njaa huyo.Duh! Kumbe jamaa ni bilionea.
Ww magonjwa mtambuka, kuwa makini ccm ni wangese Sana, unajitoa ufahamu bure tu! Pumbavu Sana wewe!Acha kumuonea wivu mwenzako wewe kamanda uchwara.
Huna akiliHaijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Kwanini Moshi hupati frusa ?Iringa ni ya Watu wote Kule Moshi hupati fursa
Huyo alikuwa anafanya hizo kazi akiwa Rc iringa ni mwanaume huyo sio WaDar PiaHaijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Na wala sijaona chochote cha ajabu alichokifanya kwenye Hiyo clip ! Kwani ukiwa RC au Waziri unakuwa kama yai au nyanya ? Yaani kazi ndogo kama ya kumsaidia mwenzio mzigo kuupakia kwenye gari iwe nayo ni habari. ?!! Hao waheshimiwa ni binadamu kama binadamu wengine na kazi za kutumia nguvu ni lazima wazifanye kwa ajili ya kujenga misuli yao kwa afya zao. ! Mtu akiwa na pesa nyingi haina maana eti kazi ngumu ngumu asizifanye maana huyo mtu sio dhaifu kama nyanya au kama yai kwamba litavunjika!! Tuwaige wazungu wanavyopenda kuishi simple na kuonekana stronger sio kuishi legelege na kuonekana Obesity ni hasara wajameni !!!"Kabla hujafa hujaumbika."
Uandishi wako umekaa kishambenga hata umepoteza lengo.
Yaani nimeshangaa kuona wapo watu wanaona ni jambo la ajabu sana kwa mtu yeyote mwenye pesa au wadhifa kusaidia kupakia mzigo kwenye Gari! Duh !! 😳Huyo alikuwa anafanya hizo kazi akiwa Rc iringa ni mwanaume huyo sio WaDar Pia
Kibongobongo wanaamini pesa inapatikana ofisini tu na kwenye deals !! Ndio maana vijana wameyakimbia mashamba huku home. !! Bado tupo mbali sana !!Ukabaila ulipenda sana kuwatukuza watu walioitwa wa nasaba bora( nobles) ambao kimsingi walibobea kwenye uvivu( idleness) huku ukiwadhalilisha wafanyakazi(working class), wakulima(peasants), na wafanyabiashara(merchants).
Kibongobongo watumishi wa umma, hasa wenye vyeo vya kisiasa wamejipachika nafasi ya noble families.
Ndiyo maana Hapi anaonekana kituko kwasababu anajinadi kama paisano ingawa bado hajaondoka kwenye nasaba bora.
Lakini kwa uasilia, kufanya kazi kwa aina yoyote kunahusiana moja kwa moja na upatikanaji wa pesa na hivyo tunapaswa kumpongeza huyu kijana(kama kweli amedhamiria) na sio kumshangaa.
Ajabu kubwa zaidi kwa vijana wa kibongo ni kutoweza kuhusianisha kazi na upatikanaji wa pesa!
Upuuzi mtupu.Ww magonjwa mtambuka, kuwa makini ccm ni wangese Sana, unajitoa ufahamu bure tu! Pumbavu Sana wewe!
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744



Sasa kama ni mkulima unataka asibebe magunia? Kalia hayo hayo wakati mwenzio anatakatisha fedha ili wasimsumbue huko mbeleni!Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Hata iweje, sisi makapuku ni mapema mno kumfikia"Kabla hujafa hujaumbika."
Uandishi wako umekaa kishambenga hata umepoteza lengo.