Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,828
- 11,764
Ni mkulima, sio mbeba magunia yaani kuli.Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744