Ally Hapi awa mbeba magunia

Ally Hapi awa mbeba magunia

Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Wewe akili yako ni kisoda na kama hujui maisha ya mtandaoni ni vise versa ya maisha halisi. Huyo ana act kwamba anahusle but in real sense anaosha pesa yake iwe halali. Ukizinduka usingizini utamkuta ni motivation speaker wa wakulima "kwamba nilianza na nusu heka now na kiwanda cha kusindika"
 
Kabisa.
Jamaa kaandika hali ya kua Hapi anapiga mishe zipi. Laiti angejua kua mwamba anaishi hilo life kama Kiki.
Hiyo ni kiki tu. Je shamba alipata kihalali wakati ni RC Iringa? Maandalizi ya shamba aliyatekeleza kwa hela yake au kwa nafasi alokuwa nayo? Leo tunamsifu bila kujiuliza uhalali wa kulipata? Hakuna mnyonge aliumia? Umeme wa TAA NE SKO uliendaje? Maji ya Iriwasa yalienda kihalali? Alilipia wapi?
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa RC na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Huyo jamaa anapiga hela hasa tofauti Kabisa na unavyofikiri. Heka 1 ya nyanya inaingiza kiasi gani jiulize Mwamba anamiliki hekari ngapi Tena analima kisasa. Mwamba ni Mkulima wa Kati anaelekea kuwa Mkulima Mkubwa Wakati wewe unashangaa Jamaa kubeba gunia utakuja kushituka mwenzako ni Bilionea . Utumishi wa Umma ni kuitumikia Nchi lakini kumiliki Biashara ni kuwezesha Nchi kupata Kodi.
 
😂😂😂😂😂sema wabongo mie mwenyewe nikiwepo miyeyusho sana
 
Jamaa c chalamila asiekuwa na kazi yuafutwa harafu anarudishwa na kuanza kujipendekeza msukuma cjui kabila gani ametolewa hana haja yamaneno mengi kama group la kigogo2014 anaendelea na majukumu yake
 
Mtoto mada ukichukuliwa vipimo vyote,jeshi uingii.
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa RC na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Huo ni mpasho hujui jamii anayotokea ni jamii ya mipasho, anatamani angeimba hata taarabu hapo
 
Huyu jamaa nime tokea kumwelewa sana ana toa darasa la kujiajiri.

hawa walamba miguu ya watawala... waimba mapambio kila siku ili wapate teuzi mbali mbali bora wasishoboke tu wana poteza point. [emoji23][emoji117]

huyu ana beba magunia yake aliyo lima shambani kwake sio mbaya kufanya yanayo kuhusu, mwacheni mwamba apambane.
IMG-20221119-WA0010.jpg
 
Wabongo kwa husda...

Jamaa yupo hapo akijishughulisha probably na shughuli za kilimo, wewe upo JF kumwandika kwamba anabeba magunia na unakna kabisa kuna vibarua wanaofanya kazi hiyo...

Umaskini Tanzania utaisha au kupungua pindi tu watu watapoachana na fikra za kimasikini...
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa RC na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Pinga Pinga fc mna kazi kweli kweli. Yaani Tanzania nzima unafuatilia maisha ya Ally tuu.
Wakulima wa nyanya wako wengi sana acha tabia za kiswahili kumfuatilia mwanaume mmoja ambaye hakuhusu.
 
nayatamani sana maisha ya aina hii sema sijapata fursa tu
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa RC na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Mimi naona atafakiwa kimaisha zaidi huyu jamaa kuliko angekaa miaka mingi zaidi kwenye U-RC.Kama hujui,mfanyakazi yeyote wa wa kawaida kama hakuwa mwizi akiwa kazini,basi akistaafu huwa anategemea ujasiliamali ili kumalizia maisha yake yaliyobaki.kwa yeye ameanza ujasiliamali mapema kabla ya kuzeeka. trust me,huyu sasa anaishi maisha huru sana na analala usingizi mzuri kuliko waziri mkuu.Na najua pia alishajua kwamba U-RC ni kuti kavu,so alishaandaa plan B. Binafsi namheshimu sana mtu yoyote anayeendesha maisha yake kwa ujasiriamali.Huyo ni msomi zaidi wa life skills kuliko profesor.

Mimi nilikuwa simfagilii huyu dogo jinsi alivyokuwa na malingo, nampa Big up sana kwa aina ya maisha aliyochaguankuishi.Kama akitumia nguvu ileile na akili zile zile alizokuwa anatumia akiwa RC
 
Back
Top Bottom