Yuko vizuri ni mfano wa kuigwa sema alifanyiwa mizengwe tu.Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Kwani nafasi ya URC alizaliwa nayo, wacha alime nyanya na kubeba magunia huenda akafanya vizuri hata kabla ya kuwa RC.Yuko vizuri ni mfano wa kuigwa sema alifanyiwa mizengwe tu.
Duh wee Ni nchi gani alipwe kwa lipiKwani mshahara wake hapati baada ya kutolewa.
Hapi huyu huyu aliyewakejeli WASTAAFU kina KINANA na MAKAMBA?Kweli Wahenga walinena MDOMO ULIKIPONZA KICHWA bado MAKONDA aliyempiga Mzee WARIOBAHaijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Inaonesha una uelewa mdogo sana kwenye kutafuta maisha. Mwalimu Nyerere pamoja na kuwa rais wa nchi bado alienda shambani.Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Jamaa kaandika hali ya kua hajui Hapi anapiga mishe zipi. Laiti angejua kua mwamba anaishi hilo life kama Kiki."Kabla hujafa hujaumbika."
Uandishi wako umekaa kishambenga hata umepoteza lengo.
Mshahara unalipwa baada ya kufanya kazi,yeye atalipwa salary kwa kazi gani anayofanya?Kwani mshahara wake hapati baada ya kutolewa.