Ally Hapi awa mbeba magunia

Ally Hapi awa mbeba magunia

Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744

Ila vichwa vingine jamani, yaani mtu anafanya kazi halali ya kujitafutia kipato, halafu mtu mwingine anaongea sijui nini, eti hujafa hujaumbika.

Kwa taarifa yako mwenzako anapiga hela, halafu pia anafanya mazoezi. Siha yake itakuwa murua kabisa.
Yaani vijana wote wangekuwa na muelekeo huo, nchi ingekuwa mbali sana.
 
Huu ni mfano wa kuigwa.
Anafanya kazi, cheo Cha kisiasa (kazi ya kuteuliwa) imekwisha lazima afanye nyingine kuendeleza maisha na kipato.
Mwingine atafanya ualimu, ufugaji, utabibu, .... kulingana na ujuzi wake au fursa anayoiona kwa wakati huo.
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Sasa hapo Kuna ubaya gani? hiyo ni kazi ya kiume, jasho, sasa wewe unashangaa! We unataka aendelee kuwa chawa, ass kisser, mlamba miguu, praise and worship team ili apate uteuzi, kama anavtofanya Kafulila?

Vijana wa siku Hz shida sana, ndio maana Kuna mashoga wengi!!, yaani kijana anafanya kazi ya nguvu, we unashangaa, kwamba huyu alikuwa RC! kwani URC unasomewa!? ni shahada!!! toa jasho kijana ndio kazi ya heshima kama una Elimu, ukapata uteuzi, tumia kichwa vzr tuone matunda, sio uchawa! haki ya nani tutawabomoa sana vijana wenye kupenda mteremko
 
Watu mnapenda kuona Anguko la watu msio wapenda
Unategemea nini kama huyo mtu anapokuwa na madaraka anawaona wale walioko chini kama hawana maana?!!ndio matakeo yake anapoanguka lazima wafurahie kwani wangapi wanaanguka lakini watu hawawasemi?
 
Kwa hiyo hawa nao wamefulia au?
Nilichompendea Hapi hajaamua kukaa kulilia mtu ili apewe uteuzi mwingine kama akina kafulila wanavyojipendekeza.
Screenshot_20221126-100323_Opera Mini.jpg
Screenshot_20221126-100401_Opera Mini.jpg
 
Anauza sura maana kila afanyalo ni lazima apost ni kama vile mkulima wa mtandaoni.
Watu ambao wako bize na shughuli zao za kilimo hawana huo upuuzi
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Alichezea ndevu za wazee. Anajichanganya kwa wakulima ili wasahau. Moto anaochea Sabaaya sio wa mchezo.

Mungu bwana ni hakimu ambaye anatuangalia kimatendo na maongezi.
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.
Mwanzako anapiga kazi wewe unasema hujafa hujaumbika.
 
Kazi ni kazi tu mwacheni ili mradi havunji sheria. Tuache kudharau kazi za watu na biashara za watu.
 
Back
Top Bottom