Ally Hapi awa mbeba magunia

Ally Hapi awa mbeba magunia

Sababu hua wana mikataba,So ukimfukuza kocha kabla ya mkataba wake kuisha ni lazima umlipe.
Nilimsikia mwigulu kwamba akilalama kweny mapendekezo yake kweny wizara ya fedha kwamba Kuna wale wakurugenzi wakuu waliofukuzwa na kutumbuliwa ila still wanalipwa mshahara kama mkurugenzi aliomba hilo swala litolewe kuokoa fedha ,basi ndo nikafikiria na RC na DC wanakuwa bado wanalipwa wakitumbuliwa.
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744

Maisha yanaenda Kasi Sana. Najifunza Jambo kwa Hawa vijana. Ukipata uongozi kuwa mnyenyekevu.
 
Saafi sana All Happy, natamani nikutembelee mkuu!

Mungu akubariki sana!

Mwenye no ya Mh AllyHappy tafadhari
 
Huyu jamaa ni limbukeni Sana na hakui, wenzio wanafanya makubwa Sana bila camera. Ni mtu aliyeteswa Sana na umasikini utotoni anaonekana. Ngoja soko limtende ndio atajua soko halina cha mheshimiwa.
 
Unategemea nini kama huyo mtu anapokuwa na madaraka anawaona wale walioko chini kama hawana maana?!!ndio matakeo yake anapoanguka lazima wafurahie kwani wangapi wanaanguka lakini watu hawawasemi?
Nani kakuambia kaanguka kwani we ni mgeni wa ccm,Hapi yupo likizo usishangae kesho akalamba teuzi,
Kama Chalamila karudi yeye nani asirudi
 
Watu mnapenda kuona Anguko la watu msio wapenda

..kwa maoni yangu Happi ameinuka.he is his own boss.

..halazimiki tena kutukana watu, na kufanya ubaya, kwa niaba ya wakubwa zake.

..awaombe msamaha aliowaonea na kuwadhalilisha wakati akiwa RC, na afungue ukurasa mpya ktk maisha yake.
 
Watu mnapenda kuona Anguko la watu msio wapenda
Ange be have vizuri alipokuwa na cheo sidhani kama kuna MTU angemnanga tatizo viongozi vijana wakipata vyeo wanafikiri wao tu ndio wanaweza kuongoza.
Cheo ni dhamana ukiwa nacho usiwaone wengine kama mbuzi.
 
..kwa maoni yangu Happi ameinuka.he is his own boss.

..halazimiki tena kutukana watu, na kufanya ubaya, kwa niaba ya wakubwa zake.

..awaombe msamaha aliowaonea na kuwadhalilisha wakati akiwa RC, na afungue ukurasa mpya ktk maisha yake.
Sure well said my homie
Kuanza upya sio ujinga
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Watanzania wengi akili zao ni chenga sana. Fanyeni kazi achaeni maneno. Mtu amejiajiri anapiga hela zake mnamuonea nongwa..
 
Yuko vizuri ni mfano wa kuigwa sema alifanyiwa mizengwe tu.
Huyu alikuwa ni mojawapo ya viongozi wajinga na wa hovyo. Hivyo vipicha anavipiga ili aonewe huruma arudishwe madarakani. Kitendo cha kuwatukana akina Mzee Warioba kilikuwa ni utovu mkubwa wa nidhamu.
 
Back
Top Bottom