Ally Hapi awa mbeba magunia

Ally Hapi awa mbeba magunia

nayatamani sana maisha ya aina hii sema sijapata fursa tu
IMG_20221120_113900_620.jpg
IMG_20221008_122221_768.jpg

Ni raha sana kuona mavuno ya jasho lako. Sio lazima uwe na eneo kubwa, hata kama uko nyumba ya kupanga panda hata pilipili, mboga mboga kwenye makopo, ndoo, beseni nk
IMG_20220920_185353_349.jpg
ukihama unahama nazo!😃
 
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa RC na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Mwenzako anatengeneza pesa wewe unamchukulia poa, ukisikia kajenga hotel ya nyota 3 mnaanza ooha katakatisha fedha, shenzi type, tafuta pesa upate heshima hata km unacheza na matope ila siku ukikaa pahala pazuri watu waendelee kuongea vibaya wakati ulikua unajipambania
 
Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.

Tazameni video clip jinsi aliyekuwa RC na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.

Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Binafsi nampongeza sana. Huyu ni mfano wa viongozi wanaotekeleza kauli ya vijana kijiajiri. Yeye, makonda na sabaya sikuwapenda kabisa. Lakoni kwenye hili sinabudi kumpongeza! Kudos!!!
 
Pamoja na kwamba sipendi madharau yake alipokuwa madarakani.

Huwa nawakubali sana watu wanaokula kwa jasho lao halali. Ally Hapi ndiye mtu pekee anaeonesha maisha siyo lazima kutegemea uchawa na siasa tu
 
Anaweza akakuajir wewe baba ako na mama ako na dada zako shamban kwake
 
Yuko vizuri ni mfano wa kuigwa sema alifanyiwa mizengwe tu.
Huyu ilikuwa lazima aliwe kichwa, hicho chama kina wenyewe, huwezi tikana wazee wenye chama chao halafu utoboe... Lilikuwa ni suala la muda tuu. Kwenye siasa, hasa ukiwa kijana, jifunze kuwa na back up plan for future ikitokea unayemtegemea hatokuwepo for one reason or another. Wahenga waliposema weka akiba ya maneno walikuwa na maana yao.
 
Pesa anaingiza kama Kawa.. hongera kwake.. kuliko kuwa.. keyboard warrior..

Kazi iendelee..
 
Nchi ngumu sana hii! Mtu Yuko shambani kwake anapiga kazi imekua nongwa?

Mbona Mwalimu baada ya kung'atuka alikua anapiga kazi shambani kwake na haikuonekana kitu Cha ajabu?
Kwamba Mwalimu aliishi kwa kutegemea kupiga kazi shambani kwake? Wafahamu kwamba rais akistaafu bado anaendelea kulipwa 80% ya mshahara wa sitting president??
 
Kwa haraka investment ambayo ameifanya akili yangu hainipeleki kwenye kuamini kiki, hizo kiki zitamgharimu mwenyewe, my positive mind inaniambia you should believe in hard work and again hard work
Ulimuona akifanya hivyo wakati ni RC?
 
Kwamba Mwalimu aliishi kwa kutegemea kupiga kazi shambani kwake? Wafahamu kwamba rais akistaafu bado anaendelea kulipwa 80% ya mshahara wa sitting president??

Umesoma vizuri post ya mwanzo iliyoletwa na mwenye Uzi? Umeelewa nilichokiandika?
 
Back
Top Bottom