Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,517
- 70,341
Nyie ndio mlisema Magu atatawala milele na mkataka mbadili katiba kabisa nyambaf zenyu.Makonda hawezi kukamatwa milele.
Nyie ndio mlisema Magu atatawala milele na mkataka mbadili katiba kabisa nyambaf zenyu.Makonda hawezi kukamatwa milele.
Hata jana nilikuwa huko. Anawasalimia sana nyjmbuzUtanyooka tuu
Mwendakuzimu anakusubiri ukamsalimie
Endelea kuota muuza madawa.Kesi za uhalifu dhidi ya binadamu kama utekaji, mauaji na jinai zingine hazina ukomo wa muda.
Vote rigging is unsustainable, meaning wanaomkingia kifua hawatakuwepo madarakani melele. So, panapo uzima, atakamatwa tu sooner or later
Mambosasa anaitazama kwa makini hiyo pedopusha ya Bashite.Aliyekuwa mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama mkoa wa Dar akisalimiana na makamanda wake.
View attachment 1976778
Hujui hata unachoandika boss
Ndiooo.. Alikuwa Mkurugenzi wa Operesheni za ndani ya nchi pale Usalamani.Yaani Makungu huyu huyu RAS wa Tabora?
Matahira Kama wewe tutadili na nyie taratibu mpaka tuwamalizeHata jana nilikuwa huko. Anawasalimia sana nyjmbuz
Nakushauri uwe kimya mkuu itakusaidia.Hiki kinachosemwa kinaenda kutokea soon hivyo comment kama hii itakuja kukuumbua..Kumbuka walioshika madaraka wana mtazamo tifauti na awamu iliyopita kwa Makonda and the like.Makonda hawezi kukamatwa milele.
Una sababu yoyote yakusema ulichosema?Makonda hawezi kukamatwa milele.
Karibu sana nipo nakusubiri kwa hamu sanaaa.Matahira Kama wewe tutadili na nyie taratibu mpaka tuwamalize
Enzi za Neema!Aliyekuwa mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama mkoa wa Dar akisalimiana na makamanda wake.
View attachment 1976778
SinaUna sababu yoyote yakusema ulichosema?
Ushamgeuka !
Kuna mmoja wapo anajiita magu2016 anadai miaka 30 aliyopewa sio ya jela bali ni ya kwenda kupumzika ukweni na mchumba wake.Kuna waliosikika wakisema sabaya hawezi kufungwa.....saivi sjui wanaambia nn wananzengo
hata Sabaya mlisema hivyo hivyoMakonda hawezi kukamatwa milele.