Habari wakuu, ninampango wa kununua mashine ya kukamua juice ya miwa naombeni mawazo yenu, ushauri na changamoto.
Malengo yangu ninunue mashine niikodishe kwa kijana, nitafute site kariakoo Dar then huyo kijana awe ananilipa kwa siku.
Aliye na ushauri jmn naomba msaada wa mawazo plz ndy kwanza najitafuta wakuu msinitupe
Malengo yangu ninunue mashine niikodishe kwa kijana, nitafute site kariakoo Dar then huyo kijana awe ananilipa kwa siku.
Aliye na ushauri jmn naomba msaada wa mawazo plz ndy kwanza najitafuta wakuu msinitupe