Aliyetufikisha Uchumi wa Kati ni Kikwete na siyo Magufuli, acheni kudanganya!

Afadhali ukawafundishe WB
Hao wanatudanganya ukweli wanaujua, World Bank wanastrategy zao, hawafanyi mambo bila kujua faida ya baadaye,kuna vingi tunahitaji kurekebisha kama nchi.

Msikilize msema kweli huyo

MAK Mringo (@SnrDirector) Tweeted:
Amkeniiii. Kuna huyu anatuchafua maji ya kisimaa. Maneno haya yana ukweli kiasi gani? Uuuuwiii, chukulia kama ni kweli. Sijui nizime simu? https://t.co/nHz7TRNnuI ()
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa videokuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza



My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!

Haya tumekusikia mkuu!!
 
Jpm aliupiga mwingi sana ameshatangulia mbele za haki lakini mpaka leo wapinzani wake wanamuogopa.
 
Historia ya Magufuli haitawezwa kufutwa KAMWE. Nyie wazembe , mafisadi, wala rushwa,majizi, watumbuliwaji mtaendelea kupiga kelele dhidi ya ukweli lakini hamwezi na hamtaweza kuufuta.

Magufuli atasomwa kwa mazuri mashuleni na watoto wenu na Africa nzima. Najua unachuki na sababu inajulikana kati ya hizo juu. Ila Magufuli alikuwa jembe, chuma.

Ukitaka kuamini wananchi walimwelewa angalia umati uliojitokeza kumuaga na kumzika...usijiangalie ww na wenzako mnaobwabwaja kwenye mitandao. Wenye akili zao wanajua Magu alikuwa chuma na ndiye aliyetupeleka uchumi wa kati.
Itapendeza kama utajibu hoja...JK alituacha na pacapita income kiasi gani na Magufuli ametuacha na pacapita income ngapi? Hoja iko hapo,hayo mengine ni porojo tu zisizokuwa na ushahidi wa takwimu. Namba huwa hazidanganyi.
 
Wapuuzi nyieee..mlikuwa mnamnanga jk wakat wake kuwa n dhaifuu..leo mnarudia matapishi yenu..tz kuna wananchi wa ajab kuwah kutokea..ndio mana jk alisema kuongoza watz inahitaj unafiki mwingi..mana watz wengi pia ni wanafik wa kutupwaaa
Wewe ni product ya Division 5. Unadandia gari yenye mwendo kwa mbele. Unaandika vitu bila ya kufanya tafiti. Udhaifu uliokuwa unasemwa ni wa kusimamia mambo ya msingi ikiwa ni pamoja rasilimali. Hakuwa dhaifu kwenye mahusiano ya kimtaifa na uvutiaji wa FDI. Mkuu uwe unaazima ata akili za jirani yako ukitaka kuja JF
 
Povu la nini; mipango siyo inayoleta matokeo, bali ni utekelezaji ndio unaoleta matokeo. Hata kama mipango iliaza na kikwete haikusimamiwa naye; failures tatu kubwa ya Kikwete ni kuwa (a) Hakuwa kiongozi decisive (b) hakutaka kuchukua responsibility na (c) aliongoza nchi bila kuwa na lengo thabiti ambalo angependa kuliona bali alitaka bora siku ziende.

Mambo mengi yaliyotaka ujasiri katika utekelezaji, kama vile usimamizi dhidi ya matumizi mabaya za raslimali za nchi, Kikwete hakuyagusa, ndipo twiga wakawa wanasafirishwa kwenda nje,m na hata makinikia yalianza kipindi hicho. Kikwete aliwahi kusikika akiwaomba walioiba mali za umma (kama ITPL na escrow) wazirudishe kwa hiari yaoile: hiyo siyo namna ya kuendesha serikali, kwani sheria zipo, na ni kazi ya serikali kuzisimamia. Vile vile wakati wa utawala wa Kikwete kuna kipindi bajeti ya ikulu iliishiwa pesa kabisa; ikabidi wapewe supplementary kutokana na matumizi yasiyokuwa na malengo.

Kuhusu responsibility, siku moja kwenye mkutano na wazee wa dar es Salaama, Kikwete aliskika akilalamika kuwa kwa nini "hawajengi" flyovers kupunguza foleni Dar es salaam. Hilo neno hawajengi ilikuwa na maana ya yeye kujitoa kwenye responsibility hiyo, na wala pia haikuwa priority yake, alitegemea wengine ndio wafanye.

Kikwete alikuwa anazungumza maneno mazuri bila kujali utekelezaji wake, wakati Magufuli alikuwa anaongea maneno makali na vile vile kufuatilia utekelezaji wake.
Hao nyumbu hawatakuelewa? hawataki kiongozi anayesem ukweli hata kama ni mchungu. Kwao kiongozi aongee maneno matamu hata kama matokeo yake kwa baadae ni ujinga.
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa videokuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza



My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!

Na wewe usitudanganye, aliyetufikisha ni Governor Richard Turnbull labda tu wewe humjui.
 
21 November 2021

TANZAM highway journey from Dar es Salaam to Iringa

KITONGA IRINGA: The most DANGEROUS road section in TANZANIA



Tanzania is a beautiful Country to travel. It has as amazing scenery as you travel by road. In this video, i have traveled by bus from Dar es Salaam, the biggest and commercial city of Tanzania to Iringa in an attempt to portray the positive image of our country

Source : Malango Travels
 
Historia ya Magufuli haitawezwa kufutwa KAMWE. Nyie wazembe , mafisadi, wala rushwa,majizi, watumbuliwaji mtaendelea kupiga kelele dhidi ya ukweli lakini hamwezi na hamtaweza kuufuta.

Magufuli atasomwa kwa mazuri mashuleni na watoto wenu na Africa nzima. Najua unachuki na sababu inajulikana kati ya hizo juu. Ila Magufuli alikuwa jembe, chuma.

Ukitaka kuamini wananchi walimwelewa angalia umati uliojitokeza kumuaga na kumzika...usijiangalie ww na wenzako mnaobwabwaja kwenye mitandao. Wenye akili zao wanajua Magu alikuwa chuma na ndiye aliyetupeleka uchumi wa kati.
kweli chato mlimpenda sana.......mwoga yule aliua!! alitisha wapinzani...jizi la kura lkn kikwete alipendwa mnooo!!.......jiwe atakumbukwa kwa roho mbaya ya chuma! uchoyo, umimi wa kupendelea chato tuuuu!!...km msura wake mweusiii!

hata hakukumbuka kutubu! sasa fikiria mwenyewe yuko wapi! huko ahera???? hata walio mfuata wanahangaika tu humu kina makonda
 
Uchumi huo wa Kati usioonekana bora hata wasingetufikisha Leo Mbaya afadhali ya Jana....
 
Back
Top Bottom