Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,677
- 26,997
Ngoja ifike zamu ya Kikwete uone, kama mimi na wewe tutakuwa bado hai utagundua kitu kuhusu swala la kupendwa kwa hawa watu wawili.kweli chato mlimpenda sana.......mwoga yule aliua!! alitisha wapinzani...jizi la kura lkn kikwete alipendwa mnooo!!.......jiwe atakumbukwa kwa roho mbaya ya chuma! uchoyo, umimi wa kupendelea chato tuuuu!!...km msura wake mweusiii!
hata hakukumbuka kutubu! sasa fikiria mwenyewe yuko wapi! huko ahera???? hata walio mfuata wanahangaika tu humu kina makonda
Yule jamaa pamoja na roho yake ngumu ila alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kusoma psychology za kundi kubwa la watanzania, aliteka mno watu kiasi kwamba hawakuwa na muda tena wakufatilia mabaya yake.