Aliyetufikisha Uchumi wa Kati ni Kikwete na siyo Magufuli, acheni kudanganya!

Bado hadi 2025 mtaona kila rangi!

Naona sasa hivi hamdemki tena kwa mama! Kawapiga makwenzi kwenye uteuzi wa madc hadi Lisu kule kwa amstwrdam kaumia sana!

Na 2025 tutawalaza na viatu
Corona inakuwa hatari zaidi pale unapo ibeza
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa videokuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!

hizi propaganda ziingine wacha wengine tupite tu.
 
Wakati mwingine unaweza kuruhusu inflation ili uchumi wa nchi upande. Watu wa uchumi wanajua hilo. Juzi mhe. Aliyekuwa kiongozi crdb muda mrefu kalifafanua vizuri sana. Kea hiyo stability ya shilingi against USD ni jambo jema la Mhe . JPM tunakubaliana. Lakini kea nini mtu usikubali kuwa JMK alipandisha uchumi kama takwimu alizotoa mtoa mada ni sahihi. Kwani imukubali ukweli inakuondolea kuwa shabiki bora wa kiongozi umpendaye. Rwanda sana fedha yenye nguvu ukibadilisha pale mpakani, lakini per capita income yetu tunawapita mbali. Jamani JMk apewe sofa stahiki, siyo kutuimbia wimbo wa ufisadi kila siku , wimbo umechuja. Takwimu zinapinga vizuri , hivyo tumieni takwimu kujenga hoja.
Acha utopolo wewe inflation ni dalili ya uchumi mbovu na kuonyesha kuwa kune deficit in trade kuwa import ni kubwa kuliko export ilifika kipindi watu wanatumia dollar kufanya miamala humu ndani Tanzania halafu unasema uchumi umekuwa sasa Tanzania ilikua na tofauti gani na Somalia isiyokuwa na serikali mpaka wanatumia pesa za kigenj
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa videokuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!
Sawa Ridhiwani.
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa videokuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!


si tulikubaliana hatupo uchumi wa kati ama mmekubali saahv?
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa videokuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza


My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!

ni sawa tu, koz lengo lako la kuandika uzi huu ni sawa na wale wanaosema JPM ndio katujisha kati, so pambana nalo ikifika 2025 ndio tutajua mbivu na mbichi
 
Unajua hawa watu wanatufanya mazezeta aisee ukweli ni kwamba kikwete ndo alifanya Tanzania kuingia uchumi wa kati kwa hoja zifuatazo:

Kwanza kabisa kigezo cha kua uchumi wa kati mdogo unapaswa uwe na Per capita income ambayo ni dola za kimarekani $1036 hadi $4045.

Kwa uchumi wa kati mkubwa unapaswa kuwa na per capita income ambaye ni dola za kimarekani $4046 hadi $12535

Sasa wakati wa kikwete alipambana sana hadi tukakaribia point zote kuwa uchumi wa kati kabisa

Mfano mdogo tu mwaka 2014 per capita income ilikua dola za kimarekani $1030 ambapo ukitazama hapo ilibakia point 6 tu ili kufikia dola $1036 ambazo zinahitajika kuwa uchumi wa kati sasa hapo kwa lugha rahisi ni kikwete ndo alitufikisha uchumi wa kati

Jpm miaka yote mitano hakuweza zaidi ya kuongeza hizo point 6 tu nawaambia mfano jk angekua madarakani hadi 2020 Tanzania ingekua kwenye per capita income ya $2000 hadi $5000 au zaidi ya hapo maana jk alikua anaenda kiutekelezaji wa dira hii ya 2025 ambayo muasisi ni mzee mkapa ambapo alitaka ikifika 2025 Tanzania iwe tumefika $3000 na kuendelea

Pia msisahau vipaumbele vya jk 2010-2015 vilikua ni kuibua fursa za maendeleo tz ambapo pia.

2015-2020 vipaumbele vingekua ni tz ya viwanda ambavyo jpm alituaminisha ni yeye lakini hii ilikua kwenye priority ya Jk na hii sera jpm amefeli vibaya sana.

Pia 2020- 2025 vipaumbele ni kuimarisha tz katika ushindani na katika masoko ambapo ndo tunamuona mama Samia akipambana na atafanikiwa.

Pia tusisahau awamu ya nne na tatu uchumi ulikua hadi 7% lakini toka jpm kaingia uchumi ulidumaa hadi asilimia 4 kwa sababu ya sera zake mbovu.

Anayestahili kupewa sifa ni Jk kwa kutupeleka uchumi wa kati na sio Jpm maana hakuna alichofanya.

Rejea hotuba ya Jk msiba wa Rais Mkapa videokuanzia dk ya 9 hadi mwisho kaeleza



My take

Mnaoteseka na hizi hoja huu ndo ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli na lazima usemwe,zama za kupika data, na kudanganya zimepitwa na wakati, mnaopinga leteni ukweli wenu mnaodai sasa.

Leteni hoja zenu zinazothibitisha kwamba jpm ndo alitufikisha uchumi wa kati ukweli ndo huo hakuna kitu kama hicho ashukuriwe Jk na mkapa!

Povu la nini; mipango siyo inayoleta matokeo, bali ni utekelezaji ndio unaoleta matokeo. Hata kama mipango iliaza na kikwete haikusimamiwa naye; failures tatu kubwa ya Kikwete ni kuwa (a) Hakuwa kiongozi decisive (b) hakutaka kuchukua responsibility na (c) aliongoza nchi bila kuwa na lengo thabiti ambalo angependa kuliona bali alitaka bora siku ziende.

Mambo mengi yaliyotaka ujasiri katika utekelezaji, kama vile usimamizi dhidi ya matumizi mabaya za raslimali za nchi, Kikwete hakuyagusa, ndipo twiga wakawa wanasafirishwa kwenda nje,m na hata makinikia yalianza kipindi hicho. Kikwete aliwahi kusikika akiwaomba walioiba mali za umma (kama ITPL na escrow) wazirudishe kwa hiari yaoile: hiyo siyo namna ya kuendesha serikali, kwani sheria zipo, na ni kazi ya serikali kuzisimamia. Vile vile wakati wa utawala wa Kikwete kuna kipindi bajeti ya ikulu iliishiwa pesa kabisa; ikabidi wapewe supplementary kutokana na matumizi yasiyokuwa na malengo.

Kuhusu responsibility, siku moja kwenye mkutano na wazee wa dar es Salaama, Kikwete aliskika akilalamika kuwa kwa nini "hawajengi" flyovers kupunguza foleni Dar es salaam. Hilo neno hawajengi ilikuwa na maana ya yeye kujitoa kwenye responsibility hiyo, na wala pia haikuwa priority yake, alitegemea wengine ndio wafanye.

Kikwete alikuwa anazungumza maneno mazuri bila kujali utekelezaji wake, wakati Magufuli alikuwa anaongea maneno makali na vile vile kufuatilia utekelezaji wake.
 
Back
Top Bottom