ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,048
- 49,731
Tarehe 1 July,2023 ,WB imeitangaza Zambia pamoja na Guinea kama Mataifa yaliyokidhi vigezo vya kuwa Uchumi wa Kati wa Chini yaani Lower Middle Income Countries.
Ili Taifa liweze kuwa classified kama Lower Middle Income Country linatakiwa kuwa na Pato la mtu mmja Dola 1,136-4,465 Kwa mwaka likikokotolewa as GNI per Capita income measured in Atlas Method.
My Take
Kati ya Majirani wanaotuzunguka ni Tanzania,Zambia na Kenya tuu ndio tuko Uchumi wa kati , wengine wote wako kwenye kapu la aibu ya umaskini wa kutopea.
Hongera jirani Kwa kupunguza Umaskini.
Ili Taifa liweze kuwa classified kama Lower Middle Income Country linatakiwa kuwa na Pato la mtu mmja Dola 1,136-4,465 Kwa mwaka likikokotolewa as GNI per Capita income measured in Atlas Method.
My Take
Kati ya Majirani wanaotuzunguka ni Tanzania,Zambia na Kenya tuu ndio tuko Uchumi wa kati , wengine wote wako kwenye kapu la aibu ya umaskini wa kutopea.
Hongera jirani Kwa kupunguza Umaskini.