Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

le padre 2010

Member
Joined
Dec 17, 2019
Posts
30
Reaction score
73
Wakuu natumaini mnaendelea poa na majukum. Niende moja kwa moja kwa kwa yale yanayonisibu.

Wakuu mi nimeoa takriban mwaka wa 7 sasa plus miaka ya uchumba na mahusiano it's almost miaka kumi nipo na ndoa yangu.

Sasa mwaka juzi nilihamia mkoani kwa uhamisho wa kikazi na kuhamia mkoa X . Huku nilikutana na balaa la kujikuta nimeingia kwenye dhambi ya uzinzi na dada was mke wangu, kutokana na mazingira yalikuwepo wakati huo.

Akili zimerudi I know what am doing is wrong ila ndio hivyo I keep falling back in that sin. Nimeomba, nimeungama na nimefunga for days
but the issue nitaresist for months lakini it will just happen a day nitashindwa kabsa then I will find myself am back on the bed.

It killing me inside, I hate it but it keep on coming.
Kama kuna mtu alishatumbukia kwenye hii mess na akatoka please share with me and I will be glad.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unazini na mwanamke mmoja tu,na umeshindwa kujizuia akushauli hama hapo na uwache kuwasiliana nae,ila kama una zini na waawake weeeeeengi nakushauli ukapime UKIMWI maana hilo NI tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
My wife introduce me to her..Sasa katika kuwa tunasalimia hapa na pale..tukajikuta tumeteleza na kuvuka mipaka...
Bt I really want stop for good..mtu mwenye maarifa please wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa nae mbali kabisa mkuu, utaharibu familia na kushusha heshima yake..mim bado nusu tu initokee kwa mdogo wake ila nimechomoka, ana kijungu flan cha shida ila Mungu ameniokoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama huwezi kumuacha basi usitegemee kupata ushauri wowote humu wa kukusaidia! Maana maamuzi sahihi yatatoka kwako. Siku utakapo fumaniwa na mke wako, mtaachana tu. Ni suala tu la muda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom