le padre 2010
Member
- Dec 17, 2019
- 30
- 73
Wakuu natumaini mnaendelea poa na majukum. Niende moja kwa moja kwa kwa yale yanayonisibu.
Wakuu mi nimeoa takriban mwaka wa 7 sasa plus miaka ya uchumba na mahusiano it's almost miaka kumi nipo na ndoa yangu.
Sasa mwaka juzi nilihamia mkoani kwa uhamisho wa kikazi na kuhamia mkoa X . Huku nilikutana na balaa la kujikuta nimeingia kwenye dhambi ya uzinzi na dada was mke wangu, kutokana na mazingira yalikuwepo wakati huo.
Akili zimerudi I know what am doing is wrong ila ndio hivyo I keep falling back in that sin. Nimeomba, nimeungama na nimefunga for days
but the issue nitaresist for months lakini it will just happen a day nitashindwa kabsa then I will find myself am back on the bed.
It killing me inside, I hate it but it keep on coming.
Kama kuna mtu alishatumbukia kwenye hii mess na akatoka please share with me and I will be glad.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu mi nimeoa takriban mwaka wa 7 sasa plus miaka ya uchumba na mahusiano it's almost miaka kumi nipo na ndoa yangu.
Sasa mwaka juzi nilihamia mkoani kwa uhamisho wa kikazi na kuhamia mkoa X . Huku nilikutana na balaa la kujikuta nimeingia kwenye dhambi ya uzinzi na dada was mke wangu, kutokana na mazingira yalikuwepo wakati huo.
Akili zimerudi I know what am doing is wrong ila ndio hivyo I keep falling back in that sin. Nimeomba, nimeungama na nimefunga for days
but the issue nitaresist for months lakini it will just happen a day nitashindwa kabsa then I will find myself am back on the bed.
It killing me inside, I hate it but it keep on coming.
Kama kuna mtu alishatumbukia kwenye hii mess na akatoka please share with me and I will be glad.
Sent using Jamii Forums mobile app
