Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Hivi unawezaje kusema CHADEMA kitapata wabunge 10 tu mwaka huu? Sababu hasa ya msingi ni ipi mpaka hivyo? Hivi kwa hali unayoiona, kitapata wabunge 10 tu au kitaongeza maradufu?
CHADEMA kinafanya mikutano yake hakuna mwaliko wa msanii hata mmoja lakini maelfu ya wananchi wanahudhuria mikutano yao kwa wingi kuliko hata ya CCM,CCM wamekusanya wasanii wote wakubwa na maarufu wa nchii, TV stations zote zinaipa Coverage CCM tu lakini bado mikutano yao iko sawa au inashindwa na ya CHADEMA. Sasa CCM wakiacha kutumia media nyingi kwa nguvu na wasanii nani atahudhuria mikutano yao? Wakamsikilize nami mwenye jipya lipi?
Magu si amezunguka nchi nzima huku aligawa pesa miaka yote 5 akidai kua yupo kwenye ziara anakagua miradi yake?
Nimeangalia Mikutano ya Tundu Lissu mikoa ya MARA, ARUSHA, MBEYA, MWANZA, MBEYA, IRINGA, MOROGORO, KATAVI, KIGOMA, TABORA, RUKWA, KAGERA maeneo mengine alikopita siamini kama ndio huyu Lissu ana nini kumshinda Magu ambaye yupo na dola miaka yote 5. Hawa wananchi wamechoka na nini aisee?
CHADEMA kinafanya mikutano yake hakuna mwaliko wa msanii hata mmoja lakini maelfu ya wananchi wanahudhuria mikutano yao kwa wingi kuliko hata ya CCM,CCM wamekusanya wasanii wote wakubwa na maarufu wa nchii, TV stations zote zinaipa Coverage CCM tu lakini bado mikutano yao iko sawa au inashindwa na ya CHADEMA. Sasa CCM wakiacha kutumia media nyingi kwa nguvu na wasanii nani atahudhuria mikutano yao? Wakamsikilize nami mwenye jipya lipi?
Magu si amezunguka nchi nzima huku aligawa pesa miaka yote 5 akidai kua yupo kwenye ziara anakagua miradi yake?
Nimeangalia Mikutano ya Tundu Lissu mikoa ya MARA, ARUSHA, MBEYA, MWANZA, MBEYA, IRINGA, MOROGORO, KATAVI, KIGOMA, TABORA, RUKWA, KAGERA maeneo mengine alikopita siamini kama ndio huyu Lissu ana nini kumshinda Magu ambaye yupo na dola miaka yote 5. Hawa wananchi wamechoka na nini aisee?