Aliyepoteza huu Mzigo tafadhali anitafute haraka

Aliyepoteza huu Mzigo tafadhali anitafute haraka

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,549
Wakuu, mimi kijana wa Kanda ya Ziwa nipo hapa Dar kwa takriban wiki ya pili sasa. Leo katika kuzungukazunguka yangu usiku huu wakati narejea kulala majira ya saa mbili hivi nimeokota pochi yenye kiasi kikubwa hivi cha pesa pamoja na driving license maeneo ya ilala katika flat za wanajeshi kwenye njia inayochepukia kuelekea Kigogo.

Kwanza nimewaza sana iwapo hii ni bahati au lah! Nikajiuliza mara mbili mbili, baadae moyo ukaniambia kuwa mwenye huo mzigo yawezekana nae ana matatizo yake na hiyo pesa ndo alikuwa anaitegemea sana, kwa kuwa mimi kidogo nipo vizuri kiuchumi nimeona ni bora nitangaze, kwa yeyote aliyepoteza aniPM na aeleze jina lake kama lilivyo kwenye license na aseme kiasi halisi cha pesa, kisha tuonane nimpatie mzigo wake.

Warning: Kama huhusiki tafadhali pita sitaki usumbufu wala kejeli, heshima ni kitu cha bure.
 
Toa taarifa polisi ila usiwape hela, waambie tu umeokota dring licence...watafuta jina na adress yake watakupatia. Huku JF sio kila mtu anaingia huku. Pia angalia kwenye pochi kuna wezakuwa na business card zake au no ya mtu ambaye anaweza kumjua. Kama umekuwa msamaria mwema simamia hili mpaka mwisho na Mungu akubariki.
 
Ubarikiwe sana Mkuu, katika dunia yetu hii ya leo ni nadra sana kuwa na watu wenye moyo wa ubinadamu kama wewe.

Wakuu,mimi Kijana Wa Kanda Ya Ziwa Nipo Hapa Dar Kwa Takriban Wiki Ya Pili Sasa,leo Ktk Zungukazunguka Yangu Usiku Huu Wakati Narejea Kulala Majira Ya Saa Mbili Hivi Nimeokota Pochi Yenye Kiasi Kikubwa Hivi Cha Pesa Pamoja Na Driving License Maeneo Ya ilala ktk flat za wanajeshi kwenye njia inayochepukia kuelekea Kigogo,kwanza Nimewaza Sana Iwapo Hii Ni Bahati Au Lah! Nikajiuliza Mara Mbili Mbili,baadae Moyo Ukaniambia Kuwa Mwenye Huo Mzigo Yawezekana Nae Ana Matatizo Yake Na Hiyo Pesa Ndo Alikuwa Anaitegemea Sana,kwa Kuwa Mimi Kidogo Nipo Vizuri Kiuchumi Nimeona Ni Bora Nitangaze,kwa Yeyote Aliyepoteza ani pm Na Aeleze Jina Lake Kama Lilivyo Kwenye License Na Aseme Kiasi Halisi Cha Pesa,kisha Tuonane Nimpatie Mzigo Wake,Warning:kama huhusiki Tafadhali Pita Sitaki Usumbufu Wala Kejeli,heshima Ni Kitu Cha Bure.
 
wiseboy, kweli una busara, nakupongeza, kwa namna ulivyoandika umeondoa shaka zote kwamba habari yako ni ya kutunga.

Am praying mwenye mzigo apatikane, halafu utuletee/atuletee ushuhuda pamoja na kiasi cha pesa ili Watanzania wajue kwamba watu wenye nyoyo za kiutu bado wapo.

Ubarikiwe sana kwa moyo wako mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mungu atakuja kukupa kikubwa kuliko hicho ambacho ungeamua kukaa nacho kimya ubarikiwe sana mkuu
 
Toa taarifa polisi ila usiwape hela, waambie tu umeokota dring licence...watafuta jina na adress yake watakupatia. Huku JF sio kila mtu anaingia huku. Pia angalia kwenye pochi kuna wezakuwa na business card zake au no ya mtu ambaye anaweza kumjua. Kama umekuwa msamaria mwema simamia hili mpaka mwisho na Mungu akubariki.


Umesema kweli. Natamani mwenye.mzigo akipatikana nijue, itanoga zaidi
 
Wakuu,mimi Kijana Wa Kanda Ya Ziwa Nipo Hapa Dar Kwa Takriban Wiki Ya Pili Sasa,leo Ktk Zungukazunguka Yangu Usiku Huu Wakati Narejea Kulala Majira Ya Saa Mbili Hivi Nimeokota Pochi Yenye Kiasi Kikubwa Hivi Cha Pesa Pamoja Na Driving License Maeneo Ya ilala ktk flat za wanajeshi kwenye njia inayochepukia kuelekea Kigogo,kwanza Nimewaza Sana Iwapo Hii Ni Bahati Au Lah! Nikajiuliza Mara Mbili Mbili,baadae Moyo Ukaniambia Kuwa Mwenye Huo Mzigo Yawezekana Nae Ana Matatizo Yake Na Hiyo Pesa Ndo Alikuwa Anaitegemea Sana,kwa Kuwa Mimi Kidogo Nipo Vizuri Kiuchumi Nimeona Ni Bora Nitangaze,kwa Yeyote Aliyepoteza ani pm Na Aeleze Jina Lake Kama Lilivyo Kwenye License Na Aseme Kiasi Halisi Cha Pesa,kisha Tuonane Nimpatie Mzigo Wake,Warning:kama huhusiki Tafadhali Pita Sitaki Usumbufu Wala Kejeli,heshima Ni Kitu Cha Bure.

kweli umelivaa jina wiseboy, ubarikiwe sana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Wakuu,mimi Kijana Wa Kanda Ya Ziwa Nipo Hapa Dar Kwa Takriban Wiki Ya Pili Sasa,leo Ktk Zungukazunguka Yangu Usiku Huu Wakati Narejea Kulala Majira Ya Saa Mbili Hivi Nimeokota Pochi Yenye Kiasi Kikubwa Hivi Cha Pesa Pamoja Na Driving License Maeneo Ya ilala ktk flat za wanajeshi kwenye njia inayochepukia kuelekea Kigogo,kwanza Nimewaza Sana Iwapo Hii Ni Bahati Au Lah! Nikajiuliza Mara Mbili Mbili,baadae Moyo Ukaniambia Kuwa Mwenye Huo Mzigo Yawezekana Nae Ana Matatizo Yake Na Hiyo Pesa Ndo Alikuwa Anaitegemea Sana,kwa Kuwa Mimi Kidogo Nipo Vizuri Kiuchumi Nimeona Ni Bora Nitangaze,kwa Yeyote Aliyepoteza ani pm Na Aeleze Jina Lake Kama Lilivyo Kwenye License Na Aseme Kiasi Halisi Cha Pesa,kisha Tuonane Nimpatie Mzigo Wake,Warning:kama huhusiki Tafadhali Pita Sitaki Usumbufu Wala Kejeli,heshima Ni Kitu Cha Bure.

Aisee angeokota kijana wa ccm apo ange eskoroi kila kitu!Big up sana mkuu kwa kujitambua.
 
Toa taarifa polisi ila usiwape hela, waambie tu umeokota dring licence...watafuta jina na adress yake watakupatia. Huku JF sio kila mtu anaingia huku. Pia angalia kwenye pochi kuna wezakuwa na business card zake au no ya mtu ambaye anaweza kumjua. Kama umekuwa msamaria mwema simamia hili mpaka mwisho na Mungu akubariki.

hahaa jamaa hawaaminiki kumbe.
 
Huna lolote wewe umekosa cha kuandika,we na uchumi wako njia za kuchepukia kigogo umezijulia wapi,?
 
Hii Mada kama ni uchokozi wa kanda ya ziwa vs DSM.


kwamba kina Ngosha ni waaminifu kuliko wa Dar!!

nimewaza tu jamani!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom