Wezi wengi tu huku mtaani kwetu huwa wanaambiwa watasomewa dua lakini mpaka leo wapo fresh. Hii dua ni Uchawi wa kufikirika tu na kumtisha mtu.
Labda 'utapeli uchwara'wewe unauitaje huu sasa kwa mfano
Naomba mawasiliano na huyo Imam nataka awasomee dua CCM pia
ngoja nikupe ya pondaNaomba mawasiliano na huyo Imam nataka awasomee dua CCM pia
Imeandikwa samehe Saba mara Sabini, sasa hii mambo ya kusoma dua,mmmmm kazi ipo.