Aliyemshambulia mwenzie kisa Mwijaku akosa dhamana, atupwa mahabusu

Aliyemshambulia mwenzie kisa Mwijaku akosa dhamana, atupwa mahabusu

Mabinti wajinga sana mara zote huwa ni hasara tu,
Million kumi inatembea chap kwa ajili ya kulilia kupigwa pumbu aibu sana hii kwa wazazi wao,poleni sana wazazi wa hao mabinti ila kama mmewalea kwa mazingira na tabia za hovyo ni aibu yenu.
 
Ndo maana nakwambia hujielewi
Moja ya kigezo cha dhamana ni bondi ya million 5
Yaani laZima uwe na million 5 benki upeleke uthibitisho
Nilishasain dhamana ya million 10 kesi ya wife, osterbay polisi sikupeleka bonding ya million 5 wala chochote

Ila nadhan unachosema makes sense, kwa Nicole Berry niliona aliambiwa awake hata Hati ya nyumba.
 
Sitaki kumtolea mtu mfano.Mimi nimelelewa kistaarabu sana lakini kuna kipindi huwa nakuwa hata akili zangu sizielewielewi.Naweza nikafanya kibweka hadi wewe mtazamaji ukakimbia kwa aibu na hofu.Sasa hapo wazazi/malezi yanahusika vipi na ujingaujinga wangu?🫸🫷😜
Well said 👏
Nawashangaa hawa wanaowazungumzia wazazi, hapo wanahusikaje. Tumelelewa kwenye heshima sana ujinga wetu ni akili zetu wenyewe.
 
Back
Top Bottom