Aliyempiga risasi Sheikh Ponda abainika

Aliyempiga risasi Sheikh Ponda abainika

NASUBIRI

Member
Joined
May 18, 2012
Posts
10
Reaction score
5
Jina: Inspekta Benedikti George
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini.
Fichua uovu na waovu pinga dhulma na uonevu kwa wananchi
 
Inspekta ni cheo kikumbwa hausiki kwenye kukamata sasa hapo kutakuwa na utata mkubwa
 
Waache vyombo husika vifanye kazi yao! Sio vyema kumwanika mtu kwa hisia tu bila kuwa na mamlaka kisheria kufanya hivyo...Ni kinga gani umemwekea Bwana Benedikti na familia yake kabla hujampost hapa?
 
Jina: Inspekta benedikti george
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini.
Fichua uovu na waovu pinga dhulma na uonevu kwa wananchi

Jaribu kutupa kitu kamili (tusaidie kuelewa zaidi) Nahisi kama ni inspekta maana yake ni ofisa wa juu wa jeshi la polisi ambapo kimuundo labda asimamie zoezi la kupiga risasi na siyo yeye kupiga risasi. imekaaje hii?
 
Jina: Inspekta benedikti george
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini.
Fichua uovu na waovu pinga dhulma na uonevu kwa wananchi
tueleze chanzo usituletee uzushi..
 
Jina: Inspekta benedikti george
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini.
Fichua uovu na waovu pinga dhulma na uonevu kwa wananchi

Baba baba chonde chonde!
Aaaaaaa aaaaaaaaa niuwe!!!! Nikibonyeza like tu January hafiki.
 
Siku nyingine apige Risasi za Kichwa kwa watu kama akina Ponda.
 
Bado kuna mambo mengi ya kuuliza na kujibu, kuifanya hii kitu iwe ukweli!

Je ni kweli kuna askari mwenye jina hilo hapo? Kituo gani? Namba yake? Cheo chake? Alikuwa zamu siku hiyo? Yuko wapi sasa? Kwa sababu kuna taarifa ziliwekwa hapa na kwenye baadhi ya magazeti yetu kuwa kuna mtu anashikiliwa na polisi kwa issue hii.
 
Waache vyombo husika vifanye kazi yao! Sio vyema kumwanika mtu kwa hisia tu bila kuwa na mamlaka kisheria kufanya hivyo...Ni kinga gani umemwekea Bwana Benedikti na familia yake kabla hujampost hapa?
hatakiwi kuwekewa kinga,hayo ni mambo ya magamba
 
Kwa mfumo wetu wa Sheria mtuhumiwa ana haki ya kukingiwa kifua/kuheshimiwa hadi pale itakapogundulika pasi na shaka kwamba ni mhalifu...Hatuongozwi na sheria za mshukiwa kuwa criminal hadi pale itakapoonekana hana hatia!
 
Kwa mfumo wetu wa Sheria mtuhumiwa ana haki ya kukingiwa kifua/kuheshimiwa hadi pale itakapogundulika pasi na shaka kwamba ni mhalifu...Hatuongozwi na sheria za mshukiwa kuwa criminal hadi pale itakapoonekana hana hatia!

Mfumo wenu wa sheria wewe na nini? Kwa maana tanzania haiko hivyo, labda kwenye vitabu tu. mifano unaijua mingi ya watu wanaoshukiwa na wanateswa ili wakubaliane na ushahidi feki uliowekwa na hao wasimamizi wa sheria
 
TECHMAN kwa hiyo kaja tu mpuuzi mmoja pale mtaani kwako na kuanza kukupakazia kesi ya mathalan kumbaka binti yake,hakuna sababu ya kuhitaji uchunguzi zaidi ni kwamba aliyekutuhumu amalize kabisa mchezo? Mimi still nitasimama tofauti hadi pawe na proof beyond doubt kwamba mshukiwa ndiye!
 
Jina: Inspekta benedikti george
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini.
Fichua uovu na waovu pinga dhulma na uonevu kwa wananchi

kulikua na ulazima wa kutaja kabila.?
 
Back
Top Bottom