Inspekta ni cheo kikumbwa hausiki kwenye kukamata sasa hapo kutakuwa na utata mkubwa
Upo sahihi hausiki kukamata anahusika kupiga risasi, na ndicho alichokifanya!
acha usenge nani kwakuambia insp.ni cheo kikubwa mbwa we ni nyota mbili,mbona kamhanda alikuwa ACP na kila tukio alikuwa anatokea na bastola mkononi?au huelewi insp.ni nini
Jitaje wewe ni nani, unapatikana wapi, na utupe namba za simu ili iwe rahisi tunapokuhitaji. Sawa..!Jina: Inspekta benedikti george
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini.
Fichua uovu na waovu pinga dhulma na uonevu kwa wananchi
Kwa mfumo wetu wa Sheria mtuhumiwa ana haki ya kukingiwa kifua/kuheshimiwa hadi pale itakapogundulika pasi na shaka kwamba ni mhalifu...Hatuongozwi na sheria za mshukiwa kuwa criminal hadi pale itakapoonekana hana hatia!
acha usenge nani kwakuambia insp.ni cheo kikubwa mbwa we ni nyota mbili,mbona kamhanda alikuwa ACP na kila tukio alikuwa anatokea na bastola mkononi?au huelewi insp.ni nini
Wamsomee itikafu
Wewe huwa ID yako inakuwa hacked, au...?Jeshi dhalimu la CCM
Mkuu kwani hujamuona Mrema alivyo sasa hivi? Ile kubabuka uso unafikiri ni mkorogo? Chezea itikafu weye!!Mrema pia alisomewa hiyo itikafu sasa sijui matokeo yake yashaonekana???
Mwangosi ameshapigwa,na ameshaoza,Ponda bado anadunda.Suala la Mwangosi napinga ila Ponda apigwe tu.
Umaarufu wote uwapi tena?Na maradhi ya sukari pia yanammaliza kidogo dogoMrema pia alisomewa hiyo itikafu sasa sijui matokeo yake yashaonekana???