Aliyempiga risasi Sheikh Ponda abainika

Aliyempiga risasi Sheikh Ponda abainika

Jina: Inspekta benedikti george
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini.
Fichua uovu na waovu pinga dhulma na uonevu kwa wananchi
Samahani, hivi hapo kabila linahusikaje kwenye risasi na issue
 
Jina: Inspekta benedikti george
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini.
Fichua uovu na waovu pinga dhulma na uonevu kwa wananchi

mmh inspecta kwa polisi ni cheo kikubwa napata shaka na hii maada kama inspecta aliingia front,pia labda alitumia bastola lakin pia hata kama anakwenda front kubeba smg ni nadra sana sema pia hatujua risasi ya silaha gan ilimpiga ponda pengine canister tu ya bomu.
 
Waache vyombo husika vifanye kazi yao! Sio vyema kumwanika mtu kwa hisia tu bila kuwa na mamlaka kisheria kufanya hivyo...Ni kinga gani umemwekea Bwana Benedikti na familia yake kabla hujampost hapa?

Vyombo gani Mkuu?
 
Inspekta ni cheo kikumbwa hausiki kwenye kukamata sasa hapo kutakuwa na utata mkubwa

acha usenge nani kwakuambia insp.ni cheo kikubwa mbwa we ni nyota mbili,mbona kamhanda alikuwa ACP na kila tukio alikuwa anatokea na bastola mkononi?au huelewi insp.ni nini
 
Jina: Inspekta benedikti george
kabila: Mkurya
kituo cha kazi: Morogoro mjini.
Fichua uovu na waovu pinga dhulma na uonevu kwa wananchi
Habari hii ina walakini, kwa nifahamuvyo Insp ni ofisa ambaye kwa sheria za Jeshi la Polisi hatakiwi kushika bunduki zaidi ya bastola.

Kama Sheikh Ponda alipigwa na bastola basi mleta mada atakuwa na haki ya kumhusisha huyo Insp lakini kama alipigwa na bunduki ambazo polisi wanazitumia aina ya SMG basi hahusiki kabisa.

Kingine katika hali ya kawaida katika ulinzi kuna kuwa na kiongozi labda kama yeye alikuwa kiongozi wa operation hiyo lakini kazi yake ni kutoa amri na si kupiga na kama kupiga atatumia silaha yake aliyonayo ambayo ni bastola.

Huwezi kunishawishi kuwa Insp huyo alishikaa bodi na kuchukua silaha kwa askari wa rank & file ili aitumie yeye.

Tuache kueneza chuki kwa watu kama hatuna uhakika na tuandikayo au tusemayo.
 
Mleta taarifa vizuri utoe na details kwa nini Na kwa vipi huyu uliyemtaja alishiriki.

Pia toa chanzo cha taarifa yako, maana mtu yeyote anaweza kubandika jina lolote na kudai ndiye aliyepiga risasi.

Si sahihi kuleta taarifa nzito Kama hii bila chanzo Au ushahidi

Kama una picha ya tukio bandika. Si uliona kwa mwangosi kila kitu kiliwekwa wazi
 
acha usenge nani kwakuambia insp.ni cheo kikubwa mbwa we ni nyota mbili,mbona kamhanda alikuwa ACP na kila tukio alikuwa anatokea na bastola mkononi?au huelewi insp.ni nini
Labda kama ungekuwa unazungumzia habari ya maslahi lakini Insp au Nyota mbili ni cheo kikubwa kwa utendaji wa Jeshi la Polisi.
 
Itamkwe wazi kwamba hatuna tena imani na vyombo la Ulinzi...na mahakama! Baada ya hapo undeni tume binafsi mchunguze mnapofanyiwa uhalifu na baada ya kubaini undeni mahakama wekeni hakimu na hukumu mtakayoona inafaa...Juzi nimepitia machapisho ya kumtaka RPC akae kando apishe uchunguzi,Ijumaa mtambani Police anazuiwa kufanya kazi yake,Kesho iende zaidi ya hapo...Msemaji wa Serikali yuko Martenity Leave
 
Mleta taarifa vizuri utoe na details kwa nini Na kwa vipi huyu uliyemtaja alishiriki.

Pia toa chanzo ta taarifa yako, maana mtu yeyote anaweza kubandika jina lolote na kudai ndiye aliyepiga risasi.

Kama una picha ya tukio bandika. Si uliona kwa mwangosi kila kitu kiliwekwa wazi

Ni kweli mtu analeta too simple statement with no supportive evidence kisha anataka aungwe mkono na watu walani tu bila kuwa na grounds.

Binafsi suala alilofanyiwa Sheikh Ponda kuumizwa na njia iliyotumika sikubaliani nayo na naona ni ukosefu wa weledi kwa Jeshi la Polisi jambo ambalo lingekuwa halina ulazima wa kutokea.
 
acha usenge nani kwakuambia insp.ni cheo kikubwa mbwa we ni nyota mbili,mbona kamhanda alikuwa ACP na kila tukio alikuwa anatokea na bastola mkononi?au huelewi insp.ni nini

Kwenda kwenye tukio nikitu tofauti na kwenda kukamata mtu polis ACP nimtu mkubwa sana anaweza kwenda kwenye tukio kuratibu lakin cheo chake hawezi kwenda kumkamata mtu yeye ni boss na hata insp nae boss ni pm nikuelekeze mambo ya polis
 
Back
Top Bottom