THE GREAT CAMP
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 765
- 194
Mkuu kwani hujamuona Mrema alivyo sasa hivi? Ile kubabuka uso unafikiri ni mkorogo? Chezea itikafu weye!!
Kumbe hizo ni nguvu za majini na wachawi................Sasa nimejua watu wanaamini vitu gani kwenye imani zao.