Tukizungumza ukweli yule Fred tumepigwa! Hafai kabisa kucheza Ligi kuu ya Tanzania, labda ktk Tanzania yetu akacheze mchangani au daraja la tatu Wilaya.Tumpe muda ni mchezaji mzuri yule
Lakini Cha ajabu Benchika ndio amekuwa mtu wake na sijui Kuna Siri gani kati ya Fred na Benchika, maana ata siku ile na TRA Fred alipofunga goli Benchika alifurahi na kumpongeza, wakati akina Kanoute Pamoja na kupiga hat trick akupongezwa.
Lakini Tahadhari Kwa Benchika huyo Fred atamgharimu, kelele zimeshaanza, kama Kuna mkarimani wa kiarabu humu amtafsirie
Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app