Watu wa aina hii huwaga mnatia huruma mno ila Mungu ni mwema iko siku mtaelewa.
omba usiku na mchana uelewe ukiwa hapa na sio jehanamu sababu itakugharimu.
Me naona unamsaidia Mungu kufikiri kwamba anawezakufanya yale unayoweza wewe kama mwanadamu.
Kwa hiyo wewe unataka tusitumie akili na kufikiria beyond our nose?
Babu DC!!
Haya bwana,
Kwa nini hutaki kuamini kwamba kuna post-decision effects ambazo anatakiwa kudeal nazo?
Unataka kutushawishi tuamini tu kwamba kwa vile kaacha hiyo tabia yake kwa kuokoka basi hatapata madhara ya mambo aliyoyafanya kabla?
Babu DC!!
Hoja unazozitoa zinamashiko sana na pia zinamistari ya kuisapoti kibiblia lakini pamoja
na MUngu kukupa utashi huo wa kufanya mambo haimfanyi yeye kuwa dhaifu kufanya
makubwa zaidi ya unayoyafikiri umefanya makubwa.
Sijanunua hii, watu wanaamini kirahisi, ila sio mie.
Kwa hiyo wewe unataka tusitumie akili na kufikiria beyond our nose?
Babu DC!!
Kwani hatuwezi kuchora mstari na kufanya yale ambayo ni wajibu wetu??
Au tunasubiri kuja kumlaumu shetani baadaye??
Babu DC!!
Bora umekuja....
Yaani siku hizi wajukuu wananitelekeza nasulubiwa alone alone...
Eti tuamini kwamba kwa vile kaombewa na kukoka hata zile sphincter muscles zitarudi kwenye normal overnight??
Na tusiulize kwa nini aliamua kupindisha mashua na kuizamisha?
Babu DC!!
Umenisaidia kusema
Mambo mengine inabidi tu mtu utofautishe imani na ukweli.
Wengi tunawaona wanatupa ARV na kusema wameponywa, siku kadhaa tu hoi mnarudi kule kule.
Tunahitaji kuacha kupumbazwa sometimes.
Jema lolote unalolifanya sio wewe unaefanya bali unaongozwa na Mungu kulitenda bila kujua
bila yeye hata ilo ambalo unataka kuwekeana makubaliano [kuchora mstari] na Mungu
hautaweza kwani bila yeye huwezi lolote hata kukata kucha wacha intellectual things.
Ebwana wee! Hata Mimi hiyo ndio hofu yangu, Maana huko nako Mende kibabao.