GE2025 Aliyekuwa Sheikh wa mkoa wa Dar: Kama hakuna amani na haki pia haipo. Kikishanuka kwelikweli unaweza kwenda mahakamani kutafuta haki yako?

GE2025 Aliyekuwa Sheikh wa mkoa wa Dar: Kama hakuna amani na haki pia haipo. Kikishanuka kwelikweli unaweza kwenda mahakamani kutafuta haki yako?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Kwenye huu mdahalo wa Wadau wa Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Madiwani 2025 ambao umeandaliwa na JMAT - Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania kuna point imeibuliwa na huyu Sheikh

Anasema pamoja kwamba kuna ukweli kwenye kauli ya kwamba hakuna amani bila haki lakini pia ni ukweli kwamba hakuna haki bila amani. Anasema "kikishanuka" hiyo haki utaenda kuipatia wapi?

Msikilizeni hapa

 
Wakuu,

Kwenye huu mdahalo wa Wadau wa Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Madiwani 2025 ambao umeandaliwa na JMAT - Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania kuna point imeibuliwa na huyu Sheikh

Anasema pamoja kwamba kuna ukweli kwenye kauli ya kwamba hakuna amani bila haki lakini pia ni ukweli kwamba hakuna haki bila amani. Anasema "kikishanuka" hiyo haki utaenda kuipatia wapi?

Msikilizeni hapa

 
Wakuu,

Kwenye huu mdahalo wa Wadau wa Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Madiwani 2025 ambao umeandaliwa na JMAT - Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania kuna point imeibuliwa na huyu Sheikh

Anasema pamoja kwamba kuna ukweli kwenye kauli ya kwamba hakuna amani bila haki lakini pia ni ukweli kwamba hakuna haki bila amani. Anasema "kikishanuka" hiyo haki utaenda kuipatia wapi?

Msikilizeni hapa

Hivi kwa sasa kuna mahakama inatoa haki wakati wateule wote ni mali ya namba moja?
Huyu jamaa bila shaka kavimbiwa kitimoto!
 
Wakuu,

Kwenye huu mdahalo wa Wadau wa Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Wabunge na Madiwani 2025 ambao umeandaliwa na JMAT - Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania kuna point imeibuliwa na huyu Sheikh

Anasema pamoja kwamba kuna ukweli kwenye kauli ya kwamba hakuna amani bila haki lakini pia ni ukweli kwamba hakuna haki bila amani. Anasema "kikishanuka" hiyo haki utaenda kuipatia wapi?

Msikilizeni hapa

Members wa hiyo Jumuiya ni akina nani na walichaguliwa na nani? Maana sasa hivi kunavikundi vinalazimisha kupata airtime kwaajili ya maslahi ya wahuni. hata anachoongea huoni kinaleta logiczaidi ya kuwatisha tu Watanzania ili washiriki uchaguzi Haramu. Watz wasasa ni werevu kuliko wanavyoweza kufikiri.
 
Moja ya njia ya kuendelea kuwatawala wajinga ni kuwajaza hofu..
Huyo ana akili sana anataka kuwafunua kitambaa cha ujinga kwamba je mahakama zetu ziko huru?

Kama mahakama zetu ziko huru basi ndiyo kimbilio

Kama ni kweli mahakama zetu haziko huru basi siyo kimbilio
 
Back
Top Bottom