TANZIA Aliyekuwa mshindi wa Quran 2024 amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 16

TANZIA Aliyekuwa mshindi wa Quran 2024 amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 16

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,188
Reaction score
9,165
Inalilah waina ilahi rajiun
Ibrahim sow kutoka Ivory coast.
Aliekuwa mshindi wa Quran mwaka Jana pale uwanja wa mkapa amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 16.
====

Mshindi wa Mashindano ya Quran Tukufu Ibrahim Sow raia wa Ivory Coast amefariki.

Taarifa kutoka vyombo mbalimbali Nchini Ivory Coast wamethibitisha hilo jana 15 July 2025.

Ibrahim Sow aliwahi kushiriki Mashindano makubwa ya Quran ya Afrika yanayondaliwa na Taasisi ya Alhikma Foundation 2024 na kuibuka Mshindi mdogo zaidi 14 katika uwanja wa Mkapa.

Ibrahim aliwahi kushiriki Mashindano makubwa ya Kimataifa ya Quran yanayofanyika Dubai 2023.

"Sisi sote ni wa Allah na kwake tutarejea"


 

Attachments

  • Screenshot_2025_0718_115115.jpg
    Screenshot_2025_0718_115115.jpg
    169 KB · Views: 26
Inalilah waina ilahi rajiun
Ibrahim sow kutoka Ivory coast.
Aliekuwa mshindi wa Quran mwaka Jana pale uwanja wa mkapa amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 16.
Dah ana bahati ya kukutana na kuonana uso Kwa uso na kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali A.S aliyeuwawa kikatili kuutetea na kuulinda uislamu dhidi ya dhulma ukandamizaji unyanyasaji na uonevu.
Screenshot_2025-07-15-22-17-10-21_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg
Screenshot_2025-07-11-11-54-34-89_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12~2.jpg
 
Waumini wa Hizi Dini kubwa mbili duniani Wengi wenu Uwezo wa kufikiri Ni mdogo Sana Hauna tofauti na Wa Mashabiki wa Simba na Yanga Huwa mnaongea kama mmekatwa vichwa".

Mnatoa maoni kwa Hisia na sio Uhalisia
Mi ninasali kwa waliotuletea SAUT, SEKOMU, BUGANDO na KCMC. Wewe uislamu umeifanyia nini nchi yako ?
 
Back
Top Bottom