Bhikalamba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 1,706
- 2,353
We ni noma, kwa coded language. BTW hii kitu naisikia sikia hivi ni kweli jamaa alisaidiwa huku nyumbani ??!!!!Mwanaume wa kweli ni mwenye kifua. Na hapa Tanzania ni mmoja tuu ourambasada in china
Tena panya bukuMzuqa wanajamvi!
Huyu dogo si ndie alikuwa anawaita CCM ukoo wa panya. Sasa naye amekuwa panya. Umetuangusha aiseee.
Teba kapigwa biti kali na kuchimbiwa mkwara asikanyage tena bongo. Sasa cha kushangaza MATAGA humu wanamponda Mbowe kwa Kugonga njeWe ni noma, kwa coded language. BTW hii kitu naisikia sikia hivi ni kweli jamaa alisaidiwa huku nyumbani ??!!!!
Hatari sanaMzuqa wanajamvi!
Huyu dogo si ndie alikuwa anawaita CCM ukoo wa panya. Sasa naye amekuwa panya. Umetuangusha aiseee.
Mwenyewe unganisha dots utapata jibu.Ulitaka alie kasalitiwa na mkewe?
Jiwe kutia msaidizi wake sio justification ya freeman kupanda mbegu nje.Teba kapigwa biti kali na kuchimbiwa mkwara asikanyage tena bongo. Sasa cha kushangaza MATAGA humu wanamponda Mbowe kwa Kugonga nje
Hivi itakuwaje jamaa akimaliza muda wake 2025, halafu Kali ole nyuki akamua kuamusha popoTeba kapigwa biti kali na kuchimbiwa mkwara asikanyage tena bongo. Sasa cha kushangaza MATAGA humu wanamponda Mbowe kwa Kugonga nje
Uko sahihi,sema siasa uongo mwingiiiiiii sanaMwenyewe unganisha dots utapata jibu.
Siasa ni kazi kama kazi zingine. Na watu huwa wanafanya kazi kwa maslahi yao sio kufurahisha wengine.
Iyo looser ni ya England na iyo loser ni ya America ni kama humour na humor, kama neighbour na neighborHivi ni looser au loser ?
Humor na humour upo sawaIyo looser ni ya England na iyo loser ni ya America ni kama humour na humor, kama neighbour na neighbor
"Itategemea nimeamkaje siku hiyo...."Humor na humour upo sawa
Lakini
Looser na loser ni vitu viwili tofauti sana.
Tofauti yake wala haihusishi AmE or BrE
Loser noun yenye maana ya mtu aliyepoteza kitu /mtu while
Looser ni comparative form ya loose
Kumbukizi yangu ni vile alivyopoteza Ubunge wa CHADEMA kwa kuacha kuhudhuria kwa vile alimpeleka mke wake mjamzito akazae Marekani. Kwa katiba yao yeyote aliyezaliwa Marekani hata kama ni kwenye ndege akuwa safarini transit automatically ni raia w Marekani akionyesha cheti cha hospitali. Alikuwa radhi mwanae awe na baraka ya uraia hata japo imgharimu ubinge. Nasikia vopngozi wakuu wa CHADEMA tundulissu mbowe na wenje ni hivohivo watoto wao.Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki kupitia Chadema, Joshua Nassari na mbunge wa sasa wa Karatu,
Willy Qulwi Qambalo wameondoka rasmi ndani ya chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wamepokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa pamoja na viongozi wengine wa Chama mkoa wa Arusha.
Amesema kuwa haikuwa kazi rahisi hata kidogo kufanya hayo maamuzi na akasema kuwa amekwenda Chama Cha Mapinduzi mchana kweupena si usiku kwa sababu moja tu, anachokifanya na alichokuwa anafanya ni swala lililowazi lenye mwanga na la kuelekeza.
Amesema kuwa hakwenda kuzunguza na wao kwa kuwa wamevaa kijani labda kuna kitu anataka hapana ila ni kwa sababu anaipenda nchi yake amesema angeamua kubaki huko duniani atengeneze pesa au kuitunza familia yake na afanye kazi akiwa huko duniani, wamsome kwenye magezati ya kimaaifa akiwa huko angeweza.
Nasari amekishukuru CHADEMA kwa kumlea tangia akiwa mdogo na sasa ameamua kutumikia nchi yake na sina nia ya kugombea nafasi yoyote, kilichopo mbele yake ni kumsaidia Rais John Magufuli.
Siku zote nafanya siasa za kiungwana. Nimeshawaandikia barua Chadema na kiukweli naishukuru Chadema ilinichukua nikiwa mdogo wakanisikiliza wakaona kuna potential ndani yangu. Nawashukuru kwa kunilea nitakuwa mjinga kama sitoikumbuka historia." - Joshua Nassari
View attachment 1500808
Joshua Nassari nakiwa na Willy Qulwi Qambalo