HIBISCUS 80
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 1,056
- 1,212
Bora unisaidie kuulizaKwa hiyo malengo makuu ya CCC ya kipindi hiki ni kuwa na miradi mikubwa ya kiuchumi kuliko kuhubiri injili tena?
Hongera zao!
Badala ya kuangalia kanisa linapanua VP huduma zake kufikia watu wengi zaidi wamjue Yesu
Watu wanawaza project zilizoavhwa na Mwwnisongole
Hawajui kanisa sii Mali ya mtu. Ni Mali ya Mungu