johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,940
- 141,915
Kuna taarifa kwamba aliyekuwa askofu mkuu wa TAG askofu Prof Rainwell Mwenesongole ambaye pia ni mchungaji kiongozi wa Upanga CCC amefariki dunia.
Taarifa zimetolewa na Sam Sasali wa Clouds tv katika ukurasa wake.
Updates;
Imethibitika ni kweli askofu Mwenesongole amefariki dunia usiku wa kuamkia leo na msiba uko nyumbani kwa marehemu eneo la Makonde Mbezi beach.
Hayati Mwenesongole ni baba mzazi wa mbunge wa Mbozi George Mwenesongole.
Taarifa zimetolewa na Sam Sasali wa Clouds tv katika ukurasa wake.
Updates;
Imethibitika ni kweli askofu Mwenesongole amefariki dunia usiku wa kuamkia leo na msiba uko nyumbani kwa marehemu eneo la Makonde Mbezi beach.
Hayati Mwenesongole ni baba mzazi wa mbunge wa Mbozi George Mwenesongole.