Wenye akili nyingi huwa hawafikiri in a simple way kama ulivyofanya. They think in a more complex way wakiangalia all possible circumstances or scnerios. Mfano wa possible scnerio mojawapo ni huu:
Saa hizo wabunge wengi walikuwa wanarejea kwenye eneo hilo walilopanga kwenda kupata chakula cha mchana kwenye nyumba zao. Eneo lina nyumba nyingi ila geti la kuingilia eneo hilo ni moja likiwa na mlinzi mmoja (armed or unarmed). Magari yaliyobeba hao waheshimiwa yanaingia kila baada ya muda wa dakika tano au kumi. Gari la Mh Lissu linakuja likiwa limeongozana na gari la waheshimiwa wengine (Nissan nyeupe). Kwa mazoea yetu waheshimiwa hawa wabunge na wengine huwa hawapendi mlinzi wa geti asimamishe magari yao getini na kuanza kukagua waliomo ndani na kuwahoji wao ni akina nani. Kwetu tendo hilo la kudodosa waheshimiwa ni ukosefu wa nidhamu kwa mlinzi mwenye tabia kama hiyo. Kwetu nidhamu ya mlinzi ni kufungua geti mara moja anapoona gari la mheshimiwa linapokuja ili mheshimiwa na alioambatana nao waweze kuingia bila bughudha ya kufanyiwa thorough search! Ndivyo watanaznia tulivyo, tumelemazwa na amani. Kwa kutumia mwanya huo 'waheshimiwa' waliokuwa kwenye shangingi nyeupe iliyoongozana na shangingi nyeusi ya Mh Lisu waliingia kwa pamoja ndani ya eneo hilo na kusimamisha magari yao. Then in seconds mmoja wa waliokuwemo kwenye lile gari jeupe alitoka na kuanza ku spray bullets from a heavy automatic gun!! Wenye akili wanaona scnerio ilivyokuwa kihalisia na reaction ya huyo au hao walinzi wa geti la waheshimiwa kama alikuwa au walikuwa karibu na risasi zilipokuwa zinamiminwa. Reflex reaction kwa askari yo yote kwenye such a situation ni kulala chini and craw fast to a nearet cover to save his life. Hayo mambo yalitokea in seconds na hao assillants kutokomea, geti likiwa bado liko wazi na magari mengine ya waheshimiwa wabunge hayajafika kwenye eneo hilo kuja kupata chakula cha mchana.
Ni ujinga kuamini kuwa walinzi waliokuwapo eneo hilo la geti na sehemu zingine hawakuhojiwa na polisi. Pia ni upumbafu kufikiri kuwa mlinzi au walinzi waliokuwepo getini wangaliweza kujibu mapigo hayo ya risasi. Vita ya risasi si lelemama, adui yako akikuwahi unachoweza kufanya kama una bahati ni ku take cover. Pia ni ujinga kuamini kuwa kwa sababu eneo hilo linalindwa na askari basi ni salama kwa asilimia 100%. Hata kambi za jeshi na vituo vya polisi vimewahi kumiminiwa risasi na askari kuuawa mara nyingi tu, sasa sembuse hilo eneo na kwa mazingira yetu kama hayo.
Pia ni upumbafu kuamini kuwa uwepo wa CCTV kwenye eneo hilo ndiyo solution ya kuwezesha kuonekana sura za wahalifu hao. Even the most expensive high definition external CCTV camera haiwezi kunasa 360 degrees view at any one time na clearity ya hizo picha ni hafifu if the object is more than 1 meatre from the camera. Ni ujinga kuamini kuwa polisi hawakuchunguza hizo images za CCTV cameras zilizo kuwa karibu na eneo. Wenye akili wanaamini images hizo kama zilinaswa zilikuwa blurred images kwani tukio lilitokea more than 1m from the cameras. At worst wanaamini kwa mazoea ya upiga dili wa nchi yetu ulipokuwa umefikia, huyo mkandrasi aliyepewa tenda ya mabilioni ya kufunga hizo CCTV alifunga aina ya Lugumi. Isitoshe wahalifu kukwepa sura zao kuonekana kwenye ma CCTV au kwa watu wengine huwa wanavaa masks au miwani + kofia zilizoshushwa chini kuficha sura zao.
Wenye akili wanaamini mtu pekee anayejua sura za hao wahuni pamoja na gari lao ni dereva wa Lissu pekee kwani kwa maneno yake alishawaona mara nyingi kuanzia Dar hadi Dodoma wakimfuatilia Lissu. Wamewahi hata kukaa pamoja nao kwenye bustani ya hotel moja huko Dar wakiwa kwenye mishemishe hizo, jambo lililomfanya Lissu atoe taarifa kwenye vyombo vya habari. Watu wenye akili wanashindwa kuelewa sababu cha kigugumizi cha dereva huyu kuogopa kwenda kusaidia jeshi la polisi katika uchunguzi wa maovu haya. Eti atatoa ushirikiano kwa jeshi la scotland yard au la FBI ya america pekee na si kwa jeshi hili la afande Sirro! Kweli chadema sasa ni chama cha mapambano dhidi ya serikali iliyowekwa madarakani kihalali na wananchi walio wengi. It is a confo
Nani kakwambia kwamba hao walinzi hawakushambuliwa? Hivi wewe ulishaona ukiwa karibu na K47 with a full magazine inavyotema risasi in burst gear operation? Nina hakika wewe reflex reaction yako itakuwa ni kujinyea, kujikojolea, shahawa kukutoka na kuzimia bila hata hizo risasi ku kupata!!! It is no joke my friend. Zione kwenye movie tu na kudhani ni burudani. It is a catastrophy or disaster in the real meaning. Full magazine za SMG ni risasi 30 ile ya K47 ni risasi 47. Silaha iliyotumika kwenye tukio la Lissu ilikuwa K47 kwani risasi zilizoweza kuhesabika kwenye tukio ni 38 na lazima kuna zingine zilizowakosa kosa walinzi hao na wengine waliokuwa karibu na eneo hilo kwani mtumiaji wa bunduki hiyo hakuwa na uwezo wa kulenga shabaha. Mtumiaji wa bunduki hiyo angalikuwa ni trained wa shabaha story hii ingalikuwa ni ya kutisha ile mbaya - walinzi wote na watu wengine waliokuwa karibu pamoja na Lisu na dereva wake wangali rest in peace hapo hapo!!! K47 ni muziki usio na mchezo kwa mtu anayeijua kuitumia barabara. Hata kama kikosi cha FFU kingalikuja kwenye eneo hilo kama kisipochukua tahadhari ya kutosha kinaweza chote kikawa rested in peace!