Aliyekudhuru ndo akuhudumie?

Aliyekudhuru ndo akuhudumie?

Kwenye hili LISSU anakosea sana alitakiwa kuwa neutral kabsa na kuacha kupoint mtu direct eti ndio muhusika kwenye jaribio la kutaka kumuua...

kwanini nashauri alitakiwa kuwa NEUTRAL ni kwa sababu HATA HUKO CHADEMA hayupo salama kama adhaniavyo.....Aache kumwamini m/kiti wake wala Nyeupe......

Lissu nakushauri kuropoka jihadhari ADUI ZAKO una wajua vizuri....Na si MAGUFULI.....
Mpaka sasa hivi ni wewe ndio umeshikiria mustakabali wa MBOWE NA EL hapo chadema.....
Mkuu unachoongea ushahidi au hata viashiria tuoneshe, vinginevyo ni propaganda unafanya. Hivi tunavyoongea Watanzania hatujaambia siku ya tukio walinzi na kamera za cctv zilikuwa wapi? Je, hao unaowasema wanahusika na hayo? Kwanini wachunguzi wa nje wamekataliwa kupata ukweli?
 
Wenye akili nyingi huwa hawafikiri in a simple way kama ulivyofanya. They think in a more complex way wakiangalia all possible circumstances or scnerios. Mfano wa possible scnerio mojawapo ni huu:

Saa hizo wabunge wengi walikuwa wanarejea kwenye eneo hilo walilopanga kwenda kupata chakula cha mchana kwenye nyumba zao. Eneo lina nyumba nyingi ila geti la kuingilia eneo hilo ni moja likiwa na mlinzi mmoja (armed or unarmed). Magari yaliyobeba hao waheshimiwa yanaingia kila baada ya muda wa dakika tano au kumi. Gari la Mh Lissu linakuja likiwa limeongozana na gari la waheshimiwa wengine (Nissan nyeupe). Kwa mazoea yetu waheshimiwa hawa wabunge na wengine huwa hawapendi mlinzi wa geti asimamishe magari yao getini na kuanza kukagua waliomo ndani na kuwahoji wao ni akina nani. Kwetu tendo hilo la kudodosa waheshimiwa ni ukosefu wa nidhamu kwa mlinzi mwenye tabia kama hiyo. Kwetu nidhamu ya mlinzi ni kufungua geti mara moja anapoona gari la mheshimiwa linapokuja ili mheshimiwa na alioambatana nao waweze kuingia bila bughudha ya kufanyiwa thorough search! Ndivyo watanaznia tulivyo, tumelemazwa na amani. Kwa kutumia mwanya huo 'waheshimiwa' waliokuwa kwenye shangingi nyeupe iliyoongozana na shangingi nyeusi ya Mh Lisu waliingia kwa pamoja ndani ya eneo hilo na kusimamisha magari yao. Then in seconds mmoja wa waliokuwemo kwenye lile gari jeupe alitoka na kuanza ku spray bullets from a heavy automatic gun!! Wenye akili wanaona scnerio ilivyokuwa kihalisia na reaction ya huyo au hao walinzi wa geti la waheshimiwa kama alikuwa au walikuwa karibu na risasi zilipokuwa zinamiminwa. Reflex reaction kwa askari yo yote kwenye such a situation ni kulala chini and craw fast to a nearet cover to save his life. Hayo mambo yalitokea in seconds na hao assillants kutokomea, geti likiwa bado liko wazi na magari mengine ya waheshimiwa wabunge hayajafika kwenye eneo hilo kuja kupata chakula cha mchana.

Ni ujinga kuamini kuwa walinzi waliokuwapo eneo hilo la geti na sehemu zingine hawakuhojiwa na polisi. Pia ni upumbafu kufikiri kuwa mlinzi au walinzi waliokuwepo getini wangaliweza kujibu mapigo hayo ya risasi. Vita ya risasi si lelemama, adui yako akikuwahi unachoweza kufanya kama una bahati ni ku take cover. Pia ni ujinga kuamini kuwa kwa sababu eneo hilo linalindwa na askari basi ni salama kwa asilimia 100%. Hata kambi za jeshi na vituo vya polisi vimewahi kumiminiwa risasi na askari kuuawa mara nyingi tu, sasa sembuse hilo eneo na kwa mazingira yetu kama hayo.

Pia ni upumbafu kuamini kuwa uwepo wa CCTV kwenye eneo hilo ndiyo solution ya kuwezesha kuonekana sura za wahalifu hao. Even the most expensive high definition external CCTV camera haiwezi kunasa 360 degrees view at any one time na clearity ya hizo picha ni hafifu if the object is more than 1 meatre from the camera. Ni ujinga kuamini kuwa polisi hawakuchunguza hizo images za CCTV cameras zilizo kuwa karibu na eneo. Wenye akili wanaamini images hizo kama zilinaswa zilikuwa blurred images kwani tukio lilitokea more than 1m from the cameras. At worst wanaamini kwa mazoea ya upiga dili wa nchi yetu ulipokuwa umefikia, huyo mkandrasi aliyepewa tenda ya mabilioni ya kufunga hizo CCTV alifunga aina ya Lugumi. Isitoshe wahalifu kukwepa sura zao kuonekana kwenye ma CCTV au kwa watu wengine huwa wanavaa masks au miwani + kofia zilizoshushwa chini kuficha sura zao.

Wenye akili wanaamini mtu pekee anayejua sura za hao wahuni pamoja na gari lao ni dereva wa Lissu pekee kwani kwa maneno yake alishawaona mara nyingi kuanzia Dar hadi Dodoma wakimfuatilia Lissu. Wamewahi hata kukaa pamoja nao kwenye bustani ya hotel moja huko Dar wakiwa kwenye mishemishe hizo, jambo lililomfanya Lissu atoe taarifa kwenye vyombo vya habari. Watu wenye akili wanashindwa kuelewa sababu cha kigugumizi cha dereva huyu kuogopa kwenda kusaidia jeshi la polisi katika uchunguzi wa maovu haya. Eti atatoa ushirikiano kwa jeshi la scotland yard au la FBI ya america pekee na si kwa jeshi hili la afande Sirro! Kweli chadema sasa ni chama cha mapambano dhidi ya serikali iliyowekwa madarakani kihalali na wananchi walio wengi. It is a confo

Nani kakwambia kwamba hao walinzi hawakushambuliwa? Hivi wewe ulishaona ukiwa karibu na K47 with a full magazine inavyotema risasi in burst gear operation? Nina hakika wewe reflex reaction yako itakuwa ni kujinyea, kujikojolea, shahawa kukutoka na kuzimia bila hata hizo risasi ku kupata!!! It is no joke my friend. Zione kwenye movie tu na kudhani ni burudani. It is a catastrophy or disaster in the real meaning. Full magazine za SMG ni risasi 30 ile ya K47 ni risasi 47. Silaha iliyotumika kwenye tukio la Lissu ilikuwa K47 kwani risasi zilizoweza kuhesabika kwenye tukio ni 38 na lazima kuna zingine zilizowakosa kosa walinzi hao na wengine waliokuwa karibu na eneo hilo kwani mtumiaji wa bunduki hiyo hakuwa na uwezo wa kulenga shabaha. Mtumiaji wa bunduki hiyo angalikuwa ni trained wa shabaha story hii ingalikuwa ni ya kutisha ile mbaya - walinzi wote na watu wengine waliokuwa karibu pamoja na Lisu na dereva wake wangali rest in peace hapo hapo!!! K47 ni muziki usio na mchezo kwa mtu anayeijua kuitumia barabara. Hata kama kikosi cha FFU kingalikuja kwenye eneo hilo kama kisipochukua tahadhari ya kutosha kinaweza chote kikawa rested in peace!
Pamoja na porojo zako nyingi, hiyo bunduki unayo isema K47 inaundiwa wapi? Maana kwa miaka Yangu mingi sijapata kuisikia wala kuiona
 
..Tundu Lissu ambaye ndiyo shahidi wa kwanza ameeleza mambo yafuatayo:-

1. Alishambuliwa na vijana wawili.

2. Silaha zilizotumika inawezekana ni smg.

3. Area D kuna walinzi 24/7, lakini siku ya tukio hawakuwepo.

4. Eneo aliloshambuliwa lina CCTV cameras ambazo zimefungwa ktk nyumba ya Mh.Kalemani, Waziri wa Nishati.
 
Ukiwa mtawala sheria ni kauli yako, kama ningekuwa mimi Sharifu Hamadi kagoma kunipa mkono nisingemsainia malipo yake ya matibabu".
 
Lakini Nyani Ngabu unajua impact ya Press Conference ya Tundu Lissu??

Utambue kuwa Lissu ameongea na dunia siku ile

Kwa kuwa unapotaja chombo cha habari cha BBC kutoa habari yako kwa kina siyo kitu cha mzaha

Maana yake nini?

Dunia hivi sasa inatambua "unyama" wanaofayiwa wapinzani wa Tanzania na CCM yao

Hiyo athari yake ni kubwa sana kuliko wewe na Mimi tunavyoweza kuimagine

Kumbuka pia kuwa Magu ana ubavu wa kudhibiti upinzani hapa ndani ya nchi pekee

Hana ubavu huo nje ya mipaka ya TZ

Hili suala la Tundu Lissu limeshavuka mipaka na hivi sasa limekuwa Globally!
 
Lakini Nyani Ngabu unajua impact ya Press Conference ya Tundu Lissu??

Utambue kuwa Lissu ameongea na dunia siku ile

Kwa kuwa unapotaja chombo cha habari cha BBC kutoa habari yako kwa kina siyo kitu cha mzaha

Maana yake nini?

Dunia hivi sasa inatambua "unyama" wanaofayiwa wapinzani wa Tanzania na CCM yao

Hiyo athari yake ni kubwa sana kuliko wewe na Mimi tunavyoweza kuimagine

Kumbuka pia kuwa Magu ana ubavu wa kudhibiti upinzani hapa ndani ya nchi pekee

Hana ubavu huo nje ya mipaka ya TZ

Hili suala la Tundu Lissu limeshavuka mipaka na hivi sasa limekuwa Globally!

Kwa hiyo dunia ikishajua, hiyo dunia ndo itawatoa CCM madarakani na kuwapachika CHADEMA hapo ikulu?
 
Pamoja na porojo zako nyingi, hiyo bunduki unayo isema K47 inaundiwa wapi? Maana kwa miaka Yangu mingi sijapata kuisikia wala kuiona
Kama kweli una ujuzi wa silaha sio vigumu kuelewa kuwa silaha anayoisemea ni AK 47. Mengine ni madosari ya kiuandishi.
 
Mimi nadhani Tundu Lisu amekosa self awareness (hajitambui),namna nzuri ya kudeal na mtu asiyejitambua ni kumdharau,ni heri mungu akunyime vyoote lakini akikunyima hekma ujue uko katika mtihani mzito sana.
Kwa hakika maneno aliyoyasema "huyu bwana" tena akiwa nje ya nchi ni mazito na kwa maoni yangu serikali haipaswi kuyadharau kwa kuwa impact yake ni kubwa katika anga za kimataifa na tena yanahatarisha usalama wa Taifa.
Kitendo cha kurusha tuhuma nzito kama hizo kwa serikali na mbaya zaidi kwa Mh.Rais tena bila ushahidi hakitakiwi kuchukuliwa poa hata kidogo kwani hatujui kesho nani mwingine ataibukia wapi kuzusha nini na wangapi hawataamini uzushi huo.
Mimi nadhani kwa kuwa Tundu Lisu amekosa imani na Mh.Rais na serikali iliyo madarakani kuhusu usalama wa uhai wake,kwa kumsaidia ilitakiwa asiruhusiwe tenakukanyaga ardhi ya TZ,hili ni muhimu kutokana na kwamba atakaporejea nchini na kupatwa na jambo lolote baya itakuwa ni rahisi kwa watu kuamini kwamba serikali inahusika na kimsingi hatujui bwana huyu ana maadui wangapi na wanawezaje ku-take advantage ya huku kuropoka kwake kuweza "kufanya yao"ili hatimaye ionekane ni serikali yetu tukufu.
Kiukweli kama ningepata nafasi ya kumshauri jambo Rais wetu mpendwa Dr JPM ningemshauri atoe tamko la kumzuia bwana huyu kukanyaga ardhi ya Bongo ili aendelee kukaa huko anakoona kuna serikali zenye usalama kwa maisha yake, HAIWEZEKANI UPANDE JUU YA NYUMBA KUUTANGAZIA UMA KUWA BABA MWENYE NYUMBA SI SALAMA KWAKO HALAFU UNASHUKA NA KUGONGA MLANGO ILI BABA MWENYE NYUMBA AKUFUNGULIE MLANGO UINGIE NDANI KULALA.
FB_IMG_1493010472708.jpg
 
Kuna watu sababu ya mahaba hata kufikiria hawezi, kati ya hivyo ulivyo vitaja kipi kilitangulia, Kuna watazania ni wagumu sana kuukubali ukweli sababu tu ya mahaba na kitu fulani
 
Daaah simply as this! Kwa hiyo huyo dereva ndie aliyempiga risasi Bosi wake? So so cheap reasoning capacity! I dont have any political party Affiliation but for this is completely trash! Revisit and come again with tangible aspects
Kama ahusiki haya ya kumkingia kifua yanatoka wapi?Huko Nairobi anatafuta nn?Kama ni serikal inahusika wanakwepa nini kuhojiwa na kushinikiza kupewa majibu ya upande mmoja?Yani wao wamejiweka kundi la innocent na kwa mujibu wao na wafuas wao ni kwamba hawaruhusiwi kuguswa na inatakiwa wapewe majibu nani aliwashambulia,hakuna uchunguz kama huu duniani labda itakua ni Tanzania tu. Sijawah na sifikiri kama ntakuja kumwamini lisu kwa fact hizi mbili moja kama ni Sheria au katiba huwa anaongea juu juu au kusimama kwenye kakifungu kamoja ambako ukifuatilia unaona ni mpotoshaji na hakuna logic,ila ni fundi wa kupangilia maneno sio hoja na ukiplus mihemko utaona jamaa yuko sahh lkn logically he is not correct na pili ni kwamba taratibu za kupata haki yake anazifahamu na hata kama anaona haki yake haitapatikana lkn sharti zifuatwe.Sikuona logic ya kutishiwa na watu wasiojulikana na daily wanakufuata fuata na kwa madai ya dereva ni kwamba wanawafaham,badala ya kwenda kuripot kituoni unaenda kuripot kwenye vyombo vya hbr,cjui kama ndio utaratibu uko hivo na kwa great thinker lzm lzm huoji ni kweli yuko serious? Ni kweli alikua anafuatiliwa na ushahidi anao?Kwanini akwepe kupeleka taarifa kituoni?Na swali hili alipigwa na mwandishi wa BBC na alichemka kulijibu na kuleta longolongo kibao.So utaona kuna vitu anaviogopa yy na dereva wake kuhojiwa na ndo maana kelele na waandish wa hbr ni nyingi kuliko kutaka kuhojiwa na polisi. Kihoja na kuona kuna shida sehem ni kulilia kuhojiwa na polisi wa Kenya na sio Tanzania. Yaleyale,hakuna vifungu anavyowaambia zaid ya kukarrsha watu kuwa sheria inasema hivo.Yani Mtanzania akahojiwe Kenya then majibu ndo yaje Tanzania? Tanzania inawaamini weledi na ustad wa polisi wa Kenya? Je Kenya inauwezo wa kuhoji kwa usahihi na kwa kutumia au kurefer mazngira ya tukio lililotokea Tanzania?

Ukifikiri nje ya box utaona huyu bwana na genge lake kuna namna tukio wanalifanya mtaji wa kisiasa na wanajua kuhojiwa kwao ndio mwisho wa hii fursa.Kama hawahusiki na wako saf sioni logic ya kusumbua kuhojiwa na kulilia kupata majibu ya waliowashambulia.Anakuambia dereva atahojiwa hadi yy awepo na wakati huohuo anataka majibu nani kahusika wakati kwa akili ya kawaida uchunguz na majibu sahihi hayawez patikana bila wao kuhojiwa. Mimi mwenyewe Nina maswali mengi sana na yenye utata yani ni mengi kweli na inatakiwa wajibu na kuwakingia kifua naona ni upumbavu tu.
 
Tatizo lenu mnadhani NCH ni kama Mali ya Familia yenu...hii NCHI niyawote LISU
haombi Fadhila atadai haki yake ambayo iko kwenye Sheria mlizosema mtaziheshimu
Umeona wapi haki inaenda bila wajibu??
 
..unajirudia rudia tu.

..Utaratibu ni Mwanasheria Mkuu wa Tanzania kumuandikia barua Mwanasheria Mkuu wa Kenya ili Tundu na dereva wahojiwe na Polisi wa Kenya.

..Hivyo ndivyo sheria ya Tanzania inavyoelekeza.

..Sasa serekali[Mwanasheria Mkuu + IGP] ya Tanzania ina kisingizio gani cha kutoomba ruhusa inakaribia miezi 4 tangu TL ashambuliwe?
Sharia ya wapi inasema hivo?Kuna vifungu vyovyote ulipewa?Yani tukio litokee Tanzania na wenye access ya mazingira ni watanzania,leo hii Polisi wa Kenya wamhoji lisu.Hata ka huna akili sio kwa porojo hizi.Labda tukio lingekua limetokea Kenya sawa.Kwanza credibility ya polisi wa Kenya iko vipi kuhakikisha lisu na dereva wake wanahojiwa kwa weledi na kupata majibu sahihi?Acheni kukaririshwa ujinga
 
..Tundu Lissu ambaye ndiyo shahidi wa kwanza ameeleza mambo yafuatayo:-

1. Alishambuliwa na vijana wawili.

2. Silaha zilizotumika inawezekana ni smg.

3. Area D kuna walinzi 24/7, lakini siku ya tukio hawakuwepo.

4. Eneo aliloshambuliwa lina CCTV cameras ambazo zimefungwa ktk nyumba ya Mh.Kalemani, Waziri wa Nishati.
Hayo akaeleze polisi sio kwa waandishi wa hbr.Kama hayo anayoyasema ni sahh shida ni nn kukwepa polisi?
 
mleta mada anadhilisha jinsi watanzania wengi walivyo na uelewa mdogo....
 
Pamoja na porojo zako nyingi, hiyo bunduki unayo isema K47 inaundiwa wapi? Maana kwa miaka Yangu mingi sijapata kuisikia wala kuiona
Maelezo yake yooote umeona hilo kosa tu? Haya ni AK47! Pinga hoja zake.
 
Nyani Ngabu Kumbuka matibabu anayoidai yapo kisheria na fedha za kumtibia ni za watanzania wote walipa kodi akiwemo yeye TL. Kwa kuwa fedha si za wana CCM na serikali matibabu ni haki yake. Na kama ni watumia wasemwe
Usitudanganye bana!! Matibabu yake anayadai kama sheria wakat ameenda kutibiwa nchi Za nje under private order!! Hataacha. Alitakiwa kwanza aende kwenye hospital wabunge wanazotibiwa then apewe transfer ndo aende Kenya! So ameruka step nyingi na ndo maana anajaribu kusema kuwa serikali ndo waliompiga risasi wanamnyima huduma!! Yukoanalialia ili serikali imlipie ila naamini hawatamlipia kwa sababu ya maneno yake!! Ndo ujue kuwa yuko upinzani na anaikorofisha serikali kwa kuita press!! Make makamanda mjiandae kujichanga!!!
 
Serikali haijakataa kuhudumia lisu. Ila nakumuka kaman lissu aliamriwa apelekwe muhimbili cdm wakagoma, na wakaamua kuagiza ndege kenya ikaja kumchukua wakati tanzania wakiwa wameshatuma ndege ya kuja kumchukua lissu. Na kesho yake tu kamanda mmoja hivi akasema hatuhitaji fedha ya serikali kwa matibabu ya mgonjwa, na hatuhitaji serikali ihusike na matibabu yake, bunge wakachanga pesa, kamanda yuleyule akasema hatuzihitaji. Na mwingine akaenda zaidi kwa kusema watauza figo zao ili wapate hela za matibabu hajui ya kwake imeathirika na drugs. Mambo yalipobana wakaanza kulaum oooh serikali mara hivi mara vile. Ngoja niwambie nyie nyumbu. Kama mngehitaji serikali ihudumia mbunge mngeacha matibabu yake yaratibiwe na serikali na sio nyie, hivyo mngekuwa na jukumu la kufuatilia tu maendeleo ya hali yake.
Nadhani wame note hii!!! Thumb up mkuu!!!
 
Kukataa kumuhudumia ndiyo kumedhihirisha kuwa CCM na serikali yake ndiyo imemmiminia Lisu risasi 38 kwenye nyumba za serikali baada ya kuwashinda kwa hoja.

Hii political assassination ni mistake itakayomganda Pombe katika maisha yake yote.
hivi mwanasiasa hana maadui tofaut na wanasiasa,? Mbona much shouting kwamba ni political assassin? Kivip mnahusisha tukio hili na siasa. Mimi naamini Lissu ana uadui na watu wengine anaisingizia serikali na rais ili apate ulinzi, Lissu I ataishia pabaya kwa tabia ya kuropoka na kumuandama mkuu wake, Lissu anavunja Sheria hata alizoweka Mungu, anasema waheshimuni wenye kuwaongoza
 
Kukataa kumuhudumia ndiyo kumedhihirisha kuwa CCM na serikali yake ndiyo imemmiminia Lisu risasi 38 kwenye nyumba za serikali baada ya kuwashinda kwa hoja.

Hii political assassination ni mistake itakayomganda Pombe katika maisha yake yote.
Kwaiyo angehudumiwa angefuta kauli yake?
 
Kwenye hili LISSU anakosea sana alitakiwa kuwa neutral kabsa na kuacha kupoint mtu direct eti ndio muhusika kwenye jaribio la kutaka kumuua...

kwanini nashauri alitakiwa kuwa NEUTRAL ni kwa sababu HATA HUKO CHADEMA hayupo salama kama adhaniavyo.....Aache kumwamini m/kiti wake wala Nyeupe......

Lissu nakushauri kuropoka jihadhari ADUI ZAKO una wajua vizuri....Na si MAGUFULI.....
Mpaka sasa hivi ni wewe ndio umeshikiria mustakabali wa MBOWE NA EL hapo chadema.....
Kwa vile mkuu wetu ana roho mbaya yote yawezekana, kutaka kumuua, kuamuru asihudumiwe, pamoja na kukataa uchunguzi huru wa ki mataifa kwani anajua utamuumbua vibaya mno.
 
Back
Top Bottom