Aliyehukumiwa kubaka abaka tena Gerezani

Aliyehukumiwa kubaka abaka tena Gerezani

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,152
MFUNGWA Emmanuel Magede aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kumbaka mtoto mdogo amekutwa na hatia ya kumbaka mfungwa mwenzake aliyekuwa anaoga wakiwa gerezani.

Mwendesha mashtaka, Loveit Muringwa alithibitisha kuwa Julai 23, 2025, Magede alitenda kosa hilo kwa mfungwa mwenzake wakati alipokuwa anaoga.

Mashahidi Tinashe Muyambo na Antony Chambarambanda ambao pia ni wafungwa katika gereza hilo, walidai kumwona Magede akiingia bafuni na kushuhudia tukio hilo la mfungwa huyo akifanya tendo la ndoa la kinyume na maumbile na mlalamikaji bafuni.

Hakimu Letwin Rwodzia alimuongezea hukumu kwa kuzingatia maumivu aliyopata mlalamikaji, mahakama ilisisitiza kuwa mashambulizi ya kijinsia yenye ukatili hayakubaliki.
1755935287462.jpeg


===========

Rapist Emmanuel Mugede sentenced to 20 more years for abusing another inmate​

HARARE, Zimbabwe — Emmanuel Mugede, who is already serving a 14-year jail term for rape, was yesterday sentenced to another 20 years in prison for aggravated indecent assault.

Mugede forced himself upon a fellow 24-year-old inmate at Harare Central Prison on July 23, during bath time. The act was witnessed by another inmate, Tinashe Muyambo, who informed Antony Chambarambanda, and the matter was subsequently reported to prison officer Tafadzwa Nembaware. A police report was filed, and Loveit Muringwa appeared for the State.

Mugede was convicted after a full trial by Harare magistrate Letwin Rwodzi. In addition to the 20-year sentence, magistrate Rwodzi added two years that had been set aside by magistrate Loice Mukunyadze when she convicted Mugede of rape in 2021. Those two years were previously suspended on the condition that he did not commit a similar offense within five years.

Magistrate Rwodzi noted that Mugede was not repentant and emphasized that he must be punished for his actions, highlighting that sexual assaults of this nature are unacceptable, even in prison.
 
MFUNGWA Emmanuel Magede aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kumbaka mtoto mdogo amekutwa na hatia ya kumbaka mfungwa mwenzake aliyekuwa anaoga wakiwa gerezani.

Mwendesha mashtaka, Loveit Muringwa alithibitisha kuwa Julai 23, 2025, Magede alitenda kosa hilo kwa mfungwa mwenzake wakati alipokuwa anaoga.

Mashahidi Tinashe Muyambo na Antony Chambarambanda ambao pia ni wafungwa katika gereza hilo, walidai kumwona Magede akiingia bafuni na kushuhudia tukio hilo la mfungwa huyo akifanya tendo la ndoa la kinyume na maumbile na mlalamikaji bafuni.

Hakimu Letwin Rwodzia alimuongezea hukumu kwa kuzingatia maumivu aliyopata mlalamikaji, mahakama ilisisitiza kuwa mashambulizi ya kijinsia yenye ukatili hayakubaliki.
View attachment 3450019
Imetokea nchi,mkoa gani?
Kuna yule mbaka watoto wa kule Iringa Semtema aliyefungwa naye nilipata habari alianza kuwadokoa wenzake gerezani.Sijui wana mapepo au ni laana ya jamii!?
 
Dah!..
MFUNGWA Emmanuel Magede aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kumbaka mtoto mdogo amekutwa na hatia ya kumbaka mfungwa mwenzake aliyekuwa anaoga wakiwa gerezani.

Mwendesha mashtaka, Loveit Muringwa alithibitisha kuwa Julai 23, 2025, Magede alitenda kosa hilo kwa mfungwa mwenzake wakati alipokuwa anaoga.

Mashahidi Tinashe Muyambo na Antony Chambarambanda ambao pia ni wafungwa katika gereza hilo, walidai kumwona Magede akiingia bafuni na kushuhudia tukio hilo la mfungwa huyo akifanya tendo la ndoa la kinyume na maumbile na mlalamikaji bafuni.

Hakimu Letwin Rwodzia alimuongezea hukumu kwa kuzingatia maumivu aliyopata mlalamikaji, mahakama ilisisitiza kuwa mashambulizi ya kijinsia yenye ukatili hayakubaliki.
View attachment 3450019
 
MFUNGWA Emmanuel Magede aliyehukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kumbaka mtoto mdogo amekutwa na hatia ya kumbaka mfungwa mwenzake aliyekuwa anaoga wakiwa gerezani.

Mwendesha mashtaka, Loveit Muringwa alithibitisha kuwa Julai 23, 2025, Magede alitenda kosa hilo kwa mfungwa mwenzake wakati alipokuwa anaoga.

Mashahidi Tinashe Muyambo na Antony Chambarambanda ambao pia ni wafungwa katika gereza hilo, walidai kumwona Magede akiingia bafuni na kushuhudia tukio hilo la mfungwa huyo akifanya tendo la ndoa la kinyume na maumbile na mlalamikaji bafuni.

Hakimu Letwin Rwodzia alimuongezea hukumu kwa kuzingatia maumivu aliyopata mlalamikaji, mahakama ilisisitiza kuwa mashambulizi ya kijinsia yenye ukatili hayakubaliki.
View attachment 3450019
Huyo jamaa inatakiwa wamuondoe korodani. Ataumiza watu
 
Back
Top Bottom