Hana tofauti na akina Happy Skilful wanao nunua mtihani !
Mtoto Julius nimemsikiliza kwa makini sana, kwa ufupi he is very very bright. Kwani haoni
kwa nini tung'ang'anie vitabu vya Marx na Lenin (DS) wakati vipaji vya watoto wetu tunavididimiza
kana kwamba elimu ya PhD na vyeti ndiyo kitu pekee na bora duniani. Tuwaangalie akina Abort, Davinci, wavumbuzi mbali mbali akiwemo Jobs (Wa APPLE electronics like i-phones) je, walikwenda shule ya kuwa wavumbuzi?
Pia Archimedes, n.k.
Wakati mwingine tunapoteza watoto wakadharau shule kwa kutumia vigezo ambavyo vingine siyo kweli. Ingawa Steve Jobs hakwenda shule, lakini alitumia watu waliokwenda shule katika kuvumbua hizo electronics. Yeye alikuwa na kipaji cha biashara kiasi kuwa aliweza kujua ni bidhaa gani atengeneze ambayo watu watapenda. Halafu anawatumia mainjinia kumtengezea bidhaa hiyo. Injinia wake wa kwanza kabisa aliyemtengenezea ile compyuta ya Apple 1 ni Steve Wozniak.Jobs (Wa APPLE electronics like i-phones)
[]Mpuuz hyo wanampa promo ya nin?